6'0" PG/SG Brown #23 Kimo Ferrari Career-High 39 PTs, 10 3PT on Senior Night! WOW! Full stats: ...
Senior Kimo Ferrari shined in a career performance and a late swat by Aaron Cooley led the Bears to a 66-64 victory over ...
Mambo 10 nilioyaona Simba vs Dodoma 1: WHAT A MATCH. Tactically, Technically makocha na wachezaji wametupa dakika 90 zilizoshiba. Mechi ya nguvu, kasi na maarifa ya kutosha.. 2: Kocha wa Dodoma Jiji, Mbwana Makata aliingia na 4-2-4 akiwa na viungo wawili tu katikati ya kiwanja. Watu wanne wa juu wakiwa bora sana kwenye pressing 🙌 Game Plan ilikuwa sahihi, 'Quality' ikatofautisha ubao wa matokeo. Nafasi ambazo Dodoma walizichezea, Simba walizitumia. 3: Dakika 45 za kwanza, Didier Gomes alibaki na sytem ya 4-2-3- 1 lakini akabadili style of Play kidogo. Chama akaenda pembeni, Bwalya akacheza zone ya 14. Timu ikaonekana nzito kidogo 'kulink' kutoka kati kuingia phase ya 3 ya kiwanja. Nini alifanya? 4: Akamtoa Muzamir Yassin akamuingiza Morrison. Chama akarudi kwenye zone ya 14, Bwalya akarudi kati. Timu ikalainika, nafasi zinakapatina. 5: Again, Simba wamethibitisha tena nilichowahi kukisema. Ni timu hatari pindi inaposhambuliwa. Mpinzani akitawanyika wana watu wazuri wa kutega kwenye maeneo ya wazi. Wakiupata mpira.. hawachezi, wanashambulia. 6: CHAMA 🐐.. Damu ya Zambia. mwili wa Hispania. Akili ya Brazil.. Alichobakisha ni kutoa asali na maziwa kwenye miguu yake.. What A Player 🙌 Anaufanya mchezo wa mpira uonekana mrahisi sana. Yuko Sharp kwenye kujitengenezea nafasi na ni mtulivu kwenye maamuzi yake 7: Ule mguu wa kushoto wa Larry Bwalya una 'vision' ya ajabu sana🙌 Ana utulivu sana. Anaimeza presha ya Opponent kwa ustadi wa aina yake. Ile pivot yake na Nyoni inawapa uhakika Simba wa kumiliki mpira kwa muda mwingi wa mchezo 8: Justine Omary🙌 Yule beki wa kati wa Dodoma Jiji.. Ni mpambanaji sana. Ana kimo kizuri, ana nguvu na timing yake ni nzuri sana. Akisukuma kidogo kwenye kutafuta kasi, he is one of the best tunaoweza kuwategemea kwa baadae 9: Miquissone 👍 Katika ubora wake wa kila siku. Dodoma walimpa mechi ngumu akawafunga bao gumu. Ule ndio ubora unaowabeba Simba wanapokuwa katika nyakati ngumu kiwanjani 10: Mkandala 👍 Alipambana sana kumvuruga Muzamir katikati ya kiwanja. Wale mabeki wa pembeni wa Dodoma, George Wawa na Ngalema wamevuja sana jasho. Well done kwao.. Nb: Tar 8 bebeni Tende tu.. Ftari mtaipata KWA MKAPA 😀
Mabingwa wa VPL Simba SC wamekamilisha kibabe hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kuipa kipigo cha jumla cha 1-0 timu ya Plateau United ya Nigeria na sasa mabingwa wanawasubiri "wajao". Je, mechi mbili za ugenini na nyumbani zilikuwaje? Je, safari yetu ilikuwaje? Kila kitu kimo ndani ya Simba TV. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
Professional american heavyweight kickboxer and wrestler Bob Sapp aka "The Beast" against ufc-pioneer, MMA fighter and actor Kimo Leopoldo. Fight took place in Las Vegas, Nevada, USA at August 13, 2003. Fight video in HQ. Share and Subscribe! Bob Sapp (USA) vs Kimo Leopoldo (USA) | KNOCKOUT, Fight HQ #Sapp #Kimo #Knockout #MMA #UFC #Fight #USA
বাংলাদেশকে হারাতে ভয়ঙ্কর ব্যাটসম্যানকে উড়িয়ে আনলো ওয়েস্ট ইন্ডিজ - Bangladesh Cricket News Subscribe For Sports Network►►►https://goo.gl/1h63DN West Indies were whitewashed by the West Indies in the Test series. But this time it is the turn of the turn to change the tourists. If you want to beat Bangladesh in a three-match one-day series, the West Indies will be able to put some pressure on the West Indies. The West Indies Cricket Board has already announced the squad to fight the revenge for the revenge. In place of regular replacement captain Jason Holder, Captain's armor has been lifted in the hands of Powell. That means the Caribbeaners will fight against their hosts West Indies ODI team Rowman Powell (captain), Marlon Samuels, Roston Chase, Devendra Bishoo, Chandrapal Hemraj, Shimron Hotmeyer, Darren Bravo, Sai Hope, Carlos Brathwaite, Kimo Paul, Kieran Powell, Faybien Allen, Kemar Roach, Sunil Ambrose and Osan Thomas. বিশেষ সতর্কীকরণ : আমাদের চ্যানেলটির কোন ভিডিও অনুমতি ছাড়া অন্য কোন চ্যানেলে আপলোড করা কপিরাইট আইনের লঙ্ঘন । আমাদের কোন ভিডিও অন্য কোন চ্যানেলে পাওয়া গেলে কপিরাইট নিয়ম অনুসারে ব্যবস্থা নেয়া হবে । ================================= ➡ SUBSCRIBE HERE FOR MORE VIDEO'S :⇥ https://www.youtube.com/channel/UC9mK0AEBLKZlwLJhr8d9XLQ ➡ JOIN US HERE : FACEBOOK⇥https://www.facebook.com/latestbreakingnewsbd/ GOOGLE+ ⇥https://plus.google.com/u/0/102594667622528246490 TWITTER ⇥https://twitter.com/SportsNetwoork DON'T FORGET TO SUBSCRIBE FOR NEW VIDEOS .ALSO COMMENT US. HOW WE WILL INCLUDING INFORMATION IN VIDEO WHICH MAY HELP YOU . YOUR ESSENTIAL COMMENT UPGRADE OUR CHANNAL DAY BY DAY.{STAY WITH US } THAN'X TO ALL =================================
PENALTI Aliyokosa Samatta TANZANIA VS CAPE VERDE Taifa Stars imefuta machungu ya Watanzania kwa kuichapa Cape Verde kwa mabao 2-0 katika mechi ya kuwania kufuzu Afcon kwenye Uwanja wa Taifa. Kabla, mechi iliyopita Stars ilikubali kipigo cha mabao 3-0 ikiwa ugenini mjini Praia, lakini leo imelipiza kisasi. Ingeweza kuibuka na ushindi wa mabao 3-0, lakini mkwaju wa penalti wa nahodha Mbwana Samatta, uligonga mwamba na kurejea uwanjani kabla ya kuokolewa. Baadaye, Samatta pamoja na kukosa mkwaju huo aligeuka shujaa wa mechi hiyo baada ya kutengeneza bao la kwanza akimpa pasi safi Saimon Msuva aliyeandika bao la kwanza kabla ya yeye kushindilia msumari wa mwisho akipokea pasi ya kimo cha nyoka ya Mudathir Yahya. SUBSCRIBE: Global TV Online: https://goo.gl/nQY3hy Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho