Azam FC wamecheza Mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Al Hilal ya Sudan,katika Uwanja wa Azam Complex chamazi. Mchezo huo umemalizika kwa sare ya 1-1.
Wananchi wamefika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere na kumpokea msanii kutoka kundi la KKL BOMOKO nchini Congo DR anayetamba na kibao cha "Tabulele", kwa ajili ya hamasa kuelekea mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika, @yangasc dhidi ya Al Ahly siku ya Novemba 2, 2023, Uwanja wa Benjamin Mkapa. Baada ya kusubiri sana hatimaye Mwamba ndani ya nyumba, ndani ya Jiji kubwa la Kibiashara la Dar Es Salaam, anasema Yanga kwake ni zaidi ya timu, imempa thamani kubwa.
Leo Novemba 21 Timu ya Yanga SC wameianza safari kuelekea Nchini Algeria kupiti Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Kwende kuminyana na CR Belouizdad siku ya Novemba 24 Mchezo wa Ligi ya Mabingwa Barani Afrika. Mpenja Tv tunakusogezea matukio yote kutoka hapa Uwanja Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere.
TAZAMA SKUDU MAKUDUBELA ALIVYOINGIA KUCHEZA MECHI YAKE YA KWANZA YANGA YA KIMATAIFA