VITASA | Karim Mandonga alivyompiga Said Mbelwa 'TKO' | Punch Of Fire 25/11/2022
VITASA | Karim Mandonga alivyompiga Said Mbelwa 'TKO' | Punch Of Fire 25/11/2022

MO GREEN VITASA NIGHT: Tazama jinsi ngumi #ndoige kutoka kwa Karim Mandonga ilivyofanya kazi ikimpiga Said Mbelwa TKO raundi katika pambano la raundi sita. Ni #MoGreenVitasaNight #PuchOfFire kwenye Dimba la Jamhuri, Morogoro Novemba 25/11/2022 Hili lilikuwa ni pambano la pili la utangulizi kuelekea pambano kuu kati ya Twaha Kiduku dhidi ya Victor Hugo Exner kutoka Argentina.



LIVE DODOMA JIJI FC VS YANGA UWANJA WA JAMHURI DODOMA
LIVE DODOMA JIJI FC VS YANGA UWANJA WA JAMHURI DODOMA

Live mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Dodoma Jiji Vs Yanga



KIGELEGELE YANGA AONGEA KIINGEREZA BAADA YA KUSHINDA DODOMA/SIMBA SC TUMEWAWEKA KWENYE JEZI...
KIGELEGELE YANGA AONGEA KIINGEREZA BAADA YA KUSHINDA DODOMA/SIMBA SC TUMEWAWEKA KWENYE JEZI...

Ni Jumapili iliyopambwa kwa Nakshi za Zabibu na Wananchi wenye Jangwani yao,Ambapo itapigwa Mbungi kali ya ligi kuu ya NBC kati ya Dodoma Jiji Fc dhidi ya Yanga Sc, kwenye Dimba la Jamhuri lililobarikiwa kuwepo kwenye Makao Makuu ya Nchi ya Tanzania ,Jijini Dodoma, Ni Saa kumi Jioni. #MpenjaTv #YangaSc #DodomaJijiFc #DaudiYanga



Dodoma Jiji 0-2 Yanga | Highlights | NBC Premier League 15/05/2022
Dodoma Jiji 0-2 Yanga | Highlights | NBC Premier League 15/05/2022

Yanga SC imeitandika Dodoma Jiji mabao 2-0 katika mchezo wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara uliopigwa leo mei 15, 2022 kwenye Uwanja wa Jamhuri, Dodoma. Magoli ya Yanga kwenye mchezo huu yamrfungwa na Dickson Ambundo dakika ya 13 na lingine la kujifunga kutoka kwa golikipa wa Dodoma Jiji, Mohamed Yusuph dakika ya 35. Katika mchezo huo pia Dodoma Jiji wamepata pigo kwa kiungo wao Hassan Nassor Maulid kutolewa nje kwa kadi nyekundu baada ya kumchezea rafu kiungo wa Yanga, Yannick Bangala.



🔴LIVE: JIONEE FISTON MAYELE NA JESUS MOLOKO WALIVYOWAPAWISHA MASHABIKI UWANJA WA JAMHURI
🔴LIVE: JIONEE FISTON MAYELE NA JESUS MOLOKO WALIVYOWAPAWISHA MASHABIKI UWANJA WA JAMHURI

Share, Support, Subscribe!!! Subscribe: UC-4fDfmsXy9hIcEmPKbARIQ Youtube: https://www.youtube.com/c/HZBTV Twitter: http://www.twitter.com/harakatizabongo Facebook: http://www.facebook.com/harakatizabongo Instagram: http://instagram.com/harakatizabongo Google Plus: https://plus.google.com/+harakatizabongo



Tanzania 3-1 Afrika ya Kati | Highlights | Mechi ya Kirafiki 23/03/2022
Tanzania 3-1 Afrika ya Kati | Highlights | Mechi ya Kirafiki 23/03/2022

Timu ya taifa ya Tanzania #TaifaStars imeitandika Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) mabao 3-1 katika mchezo wa kirafiki wa kalenda ya FIFA uliochezwa leo kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Magoli ya Tanzania yamefungwa na Novatus Dismas dakika ya 10, Mbwana Samatta dakika ya 63 na George Mpole dakika ya 90 huku CAR wakipata bao lao kwa mkwaju wa penati dakika ya 66.



Magoli | Tanzania 3-1 Afrika ya Kati | Mechi ya Kirafiki 23/03/2022
Magoli | Tanzania 3-1 Afrika ya Kati | Mechi ya Kirafiki 23/03/2022

Timu ya taifa ya Tanzania #TaifaStars imeitandika Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) mabao 3-1 katika mchezo wa kirafiki wa kalenda ya FIFA uliochezwa leo kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Magoli ya Tanzania yamefungwa na Novatus Dismas dakika ya 10, Mbwana Samatta dakika ya 63 na George Mpole dakika ya 90 huku CAR wakipata bao lao kwa mkwaju wa penati dakika ya 66.




« Previous Next »


Popular Tags

#Philadelphia 76ers  #Football Defensive Skills  #Kawhi Leonard  #LeBron James  #Michael Jordan  #Football Defensive Skills  #Best Goals Ever  #Stephen Curry  #Best Goals  #Allen Iverson  

Popular Users

#Ky1eLong  #BizNasty2point0  #BellaTwins  #oldhossradbourn  #CMPunk  #NASA  #Harry_Styles  #ochocinco  #J_No24  #billbarnwell  #BadgerMBB  #UKCoachCalipari  #katzm  #nytimes  #KingJames