MBEYA CITY 4-0 BIASHARA: Juma Luizio amefunga magoli matatu katika ushindi wa 4-0 ilioupata Mbeya City dhidi ya Biashara United katika mchezo wa mwisho wa ligi kuu Tanzania bara kwenye Uwanja wa Sokoine Mbeya. Goli lingine limefungwa na Siraji Juma na kuipa matokea yanayoifanya Mbeya City kusalia ligi kuu. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
JKT Tanzania imepata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mtibwa Sugar lakini wameshuka daraja baada ya kumaliza ligi wakiwa nafasi nne za chini wakifikisha alama 39 sawa na Mtibwa lakini wamezidiwa idadi ya magoli. Magoli ya leo yamefungwa na Nurdin Seleman kwa penati, Shaban Mgandila na upande wa Mtibwa goli limefungwa na George Makang'a Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
Ruvu Shooting imepata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Namungo FC na kufufua matumaini ya kusalia ligi kuu msimu ujao, mchezo ukipigwa kwenye Dimba la Mabatini, mkoani Pwani. Magoli ya Ruvu yamefungwa na David Richard Uromi na Fully Maganga huku goli pekee la Namungo likifungwa na Reliants Lusajo. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
Feisal Salum ameifungia Yanga magoli mawili muhimu na kuipa ushindi wa 2-0 dhidi ya Ihefu SC katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara iliyopigwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Ushindi huo umeifanya Yanga kuikamata rasmi nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi kwa kufikisha pointi 73 ambazo haziwezi kufikiwa na timu nyingine. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
Kibu Denis ameifungia Mbeya City goli pekee la ushindi wa 1-0 dhidi ya Gwambina FC katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa kwenye Dimba la Sokoine, Mbeya. Kibu amefunga goli hilo kwa mkwaju wa penati huku Gwambina nao wakipoteza penati yao kupitia kwa Rajab Athuman. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
Magoli ya Abdul Suleiman Sopu, Issa Abushehe, Raizin Hafidh na Mudathir Said yameipa Coastal Union ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Mwadui FC , katika mchezo wa ligi kuu uliopigwa kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Matokeo haya yamefufua matumaini kwa Coastal Union kusalia ligi kuu baada ya kufikisha pointi 37 katika nafasi ya 14. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
Feisal Salum ameifungia Yanga magoli mawili muhimu na kuipa ushindi wa 2-0 dhidi ya Ihefu SC katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara iliyopigwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Ushindi huo umeifanya Yanga kuikamata rasmi nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi kwa kufikisha pointi 73 ambazo haziwezi kufikiwa na timu nyingine. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
Ruvu Shooting imepata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Namungo FC na kufufua matumaini ya kusalia ligi kuu msimu ujao, mchezo ukipigwa kwenye Dimba la Mabatini, mkoani Pwani. Magoli ya Ruvu yamefungwa na David Richard Uromi na Fully Maganga huku goli pekee la Namungo likifungwa na Reliants Lusajo. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz