#ULIVE: COASTAL UNION VS MBEYA CITY | NBCPL FEBRUARI 18, 2023.. for Coastal Union - Mbeya City game - Post Details

#ULIVE: COASTAL UNION VS MBEYA CITY | NBCPL FEBRUARI 18, 2023

Ungana nasi katika kuyang'amua yaliyojiri kwenye ulimwengu wa michezo. U LIVE ni kila siku kuanzia saa 10:00 jioni hadi saa ...

Similar Posts!

Coastal Union 1-0 Mbeya City | Highlights | NBC Premier League
Coastal Union 1-0 Mbeya City | Highlights | NBC Premier League

Goli pekee kutoka kwa Vicent Abubakar limeipa Coastal Union ushindi wa 1-0 dhidi ya Mbeya City, mechi ya ...



#CRDBBankFederationCup | Kadi nyekundu aliyooneshwa Yoro Diaby...
#CRDBBankFederationCup | Kadi nyekundu aliyooneshwa Yoro Diaby...

Nusu Fainali #CRDBBankFederationCup | Kadi nyekundu aliyooneshwa Yoro Diaby...Nini maoni yako? 90+': Azam FC 2-2 Yanga SC. Mechi iko LIVE #AzamSports1HD #CRDBFederationCup #DarDerby #AzamYanga



#NBCPL: Ni Elie Mpanzu ambaye amefunga goli hili na kuitanguliza Simba.
#NBCPL: Ni Elie Mpanzu ambaye amefunga goli hili na kuitanguliza Simba.

#NBCPL: Akapita katikati yao akiwaacha Mbeya City wakimtazama….. Ni Elie Mpanzu ambaye amefunga goli hili na kuitanguliza Simba. HT: Mbeya City 0-1 Simba SC LIVE #AzamSports1HD #NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuTanzania #ImenogaZaidi #MbeyaCityVsSimbaSC #MbeyaCity #SimbaSC #MbeyaCitySimbaSC #MCCSSC



GOLI LA KWANZA LA YANGA DHIDI YA  MASHUJAA.
GOLI LA KWANZA LA YANGA DHIDI YA MASHUJAA.

Mpira umeanzia kwa Djigui Diarra, ukaguswa na Prince Dube kisha Mudathir Yahya akaupokea kwa umahiri na kuujaza nyavuni. 41’: Mashujaa 0-1 Yanga



HIGHLIGHTS | DODOMA JIJI FC 0-0 SIMBA | NBC Premier League 25/02/2026
HIGHLIGHTS | DODOMA JIJI FC 0-0 SIMBA | NBC Premier League 25/02/2026

Tazama highlights jinsi Simba walivyobanwa mbavu na kulazimishwa suluhu na Dodoma jiji, mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania ukipigwa kwenye Dimba la Jamhuri, Dodoma.



USHINDI WA MZIZE ULIVYOTANGAZWA KUNYAKUWA TUZO CAF
USHINDI WA MZIZE ULIVYOTANGAZWA KUNYAKUWA TUZO CAF

CAF AWARDS 2025 | Hivi ndivyo nyota magwiji wa soka la Afrika, Asamoah Gyan na Manucho walivyomtangaza Clement Mzize (Yanga SC) kuwa mshindi wa tuzo ya goli bora la mwaka. Pia sikiliza alichokisema Clement mwenyewe kuhusu tuzo hiyo akitoa shukrani zake kwa CAF, wachezaji wenzake, benchi la ufundi, na wote waliompigia kura. Mzize anasema “…hii ni ya kwetu wote” Goli lenyewe ni lile alilowafunga TP Mazembe kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, msimu uliopita…Yanga ikishinda 3-1 kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Januari 4, 2025. Ni usiku wa tuzo kwa waafrika waliofanya vizuri kwenye ulimwengu wa soka mwaka 2025. Ilikuwa LIVE #AzamSports1HD #CAFAwards2025 #CAFAwards #TuzoZaCAF



MKUTANO WA TRUMP NA PUTIN UTATOA SULUHU YA VITA UKRAINE?
MKUTANO WA TRUMP NA PUTIN UTATOA SULUHU YA VITA UKRAINE?

Rais wa Marekani Donald Trump na mwenzake wa Urusi, Vladimir Putin,wanakutana baadaye hii leo katika kambi ya kijeshi huko ...



ALLY KAMWE AFUNGUKA SAKATA LA WACHEZAJI WALIOMALIZA MKATABA, PACOME ATAJWA
ALLY KAMWE AFUNGUKA SAKATA LA WACHEZAJI WALIOMALIZA MKATABA, PACOME ATAJWA

Mahojiano maalum ndani ya #ULIVE na Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga SC Ally Kamwe.



ULIVE: YANGA DAY MOJA KWA MOJA KUTOKA BENJAMIN  MKAPA/ YANGA SC (0) VS (1)  RED ARROWS FC
ULIVE: YANGA DAY MOJA KWA MOJA KUTOKA BENJAMIN MKAPA/ YANGA SC (0) VS (1) RED ARROWS FC

Ungana nasi katika kuyang'amua yaliyojiri kwenye ulimwengu wa michezo. U LIVE ni kila siku kuanzia saa 10:00 jioni hadi saa 1:00 usiku. Tunakuweka Karibu na Michezo.