Yanga 3-0 Azam FC | Highlights | NBC Premier League 24/06/2026
Yanga 3-0 Azam FC | Highlights | NBC Premier League 24/06/2026

Yanga SC imezidi kuusogelea ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu, kwa kuwachapa Azam FC mabao 3-0 kwenye Uwanja wa Amaan Zanzibar. Magoli ya Yanga yamefungwa na Ibrahim Abdullah 'Bacca', Laurindo Dilson Depu, na Pacome Zouzoua. Hii ni Ligi Kuu ya NBC, raundi ya 28 (bado mbili tu) Tazama highlights



Magoli | Yanga SC 3-0 Azam FC | NBC Premier League 24/06/2026
Magoli | Yanga SC 3-0 Azam FC | NBC Premier League 24/06/2026

Yanga SC imezidi kuusogelea ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu, kwa kuwachapa Azam FC mabao 3-0 kwenye Uwanja wa Amaan Zanzibar. Magoli ya Yanga yamefungwa na Ibrahim Abdullah 'Bacca', Laurindo Dilson Depu, na Pacome Zouzoua. Haya hapa magoli yote...



#CRDBBankFederationCup | Kadi nyekundu aliyooneshwa Yoro Diaby...
#CRDBBankFederationCup | Kadi nyekundu aliyooneshwa Yoro Diaby...

Nusu Fainali #CRDBBankFederationCup | Kadi nyekundu aliyooneshwa Yoro Diaby...Nini maoni yako? 90+': Azam FC 2-2 Yanga SC. Mechi iko LIVE #AzamSports1HD #CRDBFederationCup #DarDerby #AzamYanga



Azam FC 1-2 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League 10/04/2025
Azam FC 1-2 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League 10/04/2025

Yanga SC imelipa kisasi kwa kuitandika Azam FC mabao 2-1 kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi Dar es Salaam.... Yanga imepata mabao yake yote mawili kipindi cha kwanza kupitia kwa Pacome Zouzoua dakika 11 na Prince Dube dakika ya 34, huku Azam FC wakipata bao lao dakika ya 81. Tazama magoli....



Azam FC 2 -1 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League 17/03/2024
Azam FC 2 -1 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League 17/03/2024

DAR DERBY: Yanga SC imeangukia pua kwa kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Azam FC, katika #DarDerby iliyopigwa leo Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Yanga imetangulia kupata bao kupitia kwa Clement Mzize dakika ya 10 kabla ya Azam kuchomoa dakika ya 19 kwa goli la Gibril Sillah na kisha Feisal Salum akafunga la ushindi dakika ya 51.



Magoli | Azam FC 2-1 Yanga SC | NBC Premier League 17/03/2024
Magoli | Azam FC 2-1 Yanga SC | NBC Premier League 17/03/2024

DAR DERBY: Yanga SC imeangukia pua kwa kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Azam FC, katika #DarDerby iliyopigwa leo Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Yanga imetangulia kupata bao kupitia kwa Clement Mzize dakika ya 10 kabla ya Azam kuchomoa dakika ya 19 kwa goli la Gibril Sillah na kisha Feisal Salum akafunga la ushindi dakika ya 51.



Simba SC na Yanga ulingoni tena  | Maamuzi yawachanganya mashabiki
Simba SC na Yanga ulingoni tena | Maamuzi yawachanganya mashabiki

#KipengaXtra #EastAfricaRadio #DarDerby Twitter: https://twitter.com/earadiofm Subscribes: https://www.youtube.com/channel/UClYL5SSefPhe-FCxFvXOreg



Angalia jinsi Simba na Yanga walivyotoana jasho kupata 2-2
Angalia jinsi Simba na Yanga walivyotoana jasho kupata 2-2

Highlights za mechi VPL kati ya Simba na Yanga iliyochezwa tarehe 04/01/2020 Uwanja wa Taifa, Dar Es Salaam. #KariakooDerby #DarDerby #SimbaYanga #SimbaVSYanga #SimbaSC #YangaSC #UwanjaWaTaifa #BalamaMapinduzi #MeddieKagere #MohammedBanka #MoBanka




Next »


Popular Tags

#Football Skills  #Kyrie Irving  #Football Defensive Skills  #Miami Heat  #Paul George  #Derrick Rose  #Shaquille O'Neal  #Shaquille O'Neal  #Shot Goals  #Best Goals  

Popular Users

#JasonDufner  #kevinlove  #dougferguson405  #JJWatt  #YouTube  #RobbieSavage8  #elonmusk  #jtimberlake  #BringerOfRain20  #KylieJenner  #SHAQ  #TheCUTCH22  #LarryFitzgerald  #itsBayleyWWE