USHINDI WA MZIZE ULIVYOTANGAZWA KUNYAKUWA TUZO CAF
USHINDI WA MZIZE ULIVYOTANGAZWA KUNYAKUWA TUZO CAF

CAF AWARDS 2025 | Hivi ndivyo nyota magwiji wa soka la Afrika, Asamoah Gyan na Manucho walivyomtangaza Clement Mzize (Yanga SC) kuwa mshindi wa tuzo ya goli bora la mwaka. Pia sikiliza alichokisema Clement mwenyewe kuhusu tuzo hiyo akitoa shukrani zake kwa CAF, wachezaji wenzake, benchi la ufundi, na wote waliompigia kura. Mzize anasema “…hii ni ya kwetu wote” Goli lenyewe ni lile alilowafunga TP Mazembe kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, msimu uliopita…Yanga ikishinda 3-1 kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Januari 4, 2025. Ni usiku wa tuzo kwa waafrika waliofanya vizuri kwenye ulimwengu wa soka mwaka 2025. Ilikuwa LIVE #AzamSports1HD #CAFAwards2025 #CAFAwards #TuzoZaCAF





Popular Tags

#Los Angeles Lakers  #Goal Celebrations  #LeBron James  #Franck Ribery  #Kevin Durant  #Miami Heat  #Gareth Bale  #Shaquille O'Neal  #Best Ball Controls  #Boston Celtics  

Popular Users

#AntDavis23  #TheChristinaKim  #CNN  #alexmorgan13  #_BAnderson30_  #CP3  #SHAQ  #wizkhalifa  #billsimmons  #richarddeitsch  #jadande  #LAKings  #LarryFitzgerald  #darrenrovell  #SrBachchan