KidaniStars's user profile page. Match highlights, posts and more on site!“” Report User |
Timu Ya JS Soura Kutoka Nchini Algeria Imetua Nchini usiku wa kuamkia leo Kuwavaa Simba Katika Mchezo Wa Hatua Ya Makundi Kombe la Klabu Bingwa Barani Afrika. Simba inatarajiwa kucheza dhidi ya JS Saoura ya Algeria, kesho Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa Ikumbukwe Pia Timu Hiyo Anachezeza Mtanzania Thomas Ulimwengu Waliyemsajili Hivi Karibuni #SimbaSC ipo Kundi D katika michuano hiyo ikiwa na timu za As Vita Club ya DR Congo, Al Ahly ya Misri na JS Saoura. Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars/ Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars/ Twitter: https://twitter.com/kidanistars
Timu Ya JS Soura Kutoka Nchini Algeria Imetua Nchini usiku wa kuamkia leo Kuwavaa Simba Katika Mchezo Wa Hatua Ya Makundi Kombe la Klabu Bingwa Barani Afrika. Simba inatarajiwa kucheza dhidi ya JS Saoura ya Algeria, kesho Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa Ikumbukwe Pia Timu Hiyo Anachezeza Mtanzania Thomas Ulimwengu Waliyemsajili Hivi Karibuni #SimbaSC ipo Kundi D katika michuano hiyo ikiwa na timu za As Vita Club ya DR Congo, Al Ahly ya Misri na JS Saoura. Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars/ Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars/ Twitter: https://twitter.com/kidanistars
Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Kikosi kitakachoanza 1. Ally Salim 2. Nicolas Gyan 3. Asante Kwasi 4 . Yusuf Mlipili 5. Paul Bukaba 6. Mzamiru Yasin 7. Haruna Niyonzima 8. Said Ndemla 9. Adam Salamba 10. Meddie Kagere 11. Hassan Dilunga Kikosi cha akiba 1. Deogratias Munish 2. Zana Coulibaly 3. Erasto Nyoni 4. Mohamed Ibrahi 5. John Bocco 6. Rashid Juma 7. Abdul Suleiman Kocha Mkuu Patrick Aussems Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars/ Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars/ Twitter: https://twitter.com/kidanistars
Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars/ Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars/ Twitter: https://twitter.com/kidanistars
Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Simba imepangwa Kundi D lenye timu za Al Ahly ya Misri, JS Soura ya Algeria anayoichezea Thomas Ulimwengu na AS Vita ya DR Congo. Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars/ Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars/ Twitter: https://twitter.com/kidanistars
Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars/ Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars/ Twitter: https://twitter.com/kidanistars
Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Unaweza kusema ni 'Mwendo Mdundo kwa Simba' baada ya leo kumefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Nkana FC ya Zambia katika mchezo wa marudiano uliochezwa uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Matokeo hayo yanaipa nafasi Simba kutinga hatua ya Makundi baada ya kufanikiwa kushinda kwa jumla ya mabao 4-3 kwa kuwa mchezo wa kwanza walishinda kwa jumla ya mabao 2-1 na leo wapinzani wao wamekubali kupigwa mabao 3-1. Nkana walikuwa wa kwanza kufunga bao kupitia kwa Walter Bwalya na kuwafanya Simba waongeze kasi na kusawazisha dakika ya 26 kupitia kiungo Jonas Mkude aliyemalizia pasi ya Claytous Chama na dakika ya 45 Meddie Kagere alifunga bao la 2 kwa kichwa akimaliza pasi ya James Kotei. Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars/ Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars/ Twitter: https://twitter.com/kidanistars
Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars SIMBA SC imefanikiwa kuingia hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Nkana FC ya Zambia jioni ya leo Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Kwa matokeo hayo, Simba SC inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 4-3, kufuatia kufungwa 2-1 kwenye mchezo wa kwanza mjini Kitwe Jumamosi iliyopita. Mara ya mwisho Tanzania kuingiza timu hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika ilikuwa mwaka 2003 na walikuwa hao hao Simba SC waliofika hatua hiyo, wakifuata nyayo za wapinzani wao wa jadi, Yanga SC waliokuwa timu ya kwanza nchini kufikia mafanikio hayo mwaka 1998. Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars/ Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars/ Twitter: https://twitter.com/kidanistars