Azam TV's user profile page. Match highlights, posts and more on site!“” Report User |
Baada ya kushinda mechi nane mfululizo, Yanga SC leo imepoteza kwa mara ya kwanza kwa kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa Azam FC, mchezo wa ligi kuu ya NBC uliopigwa kwenye dimba la Azam Complex, Chamazi. Goli pekee la mchezo limefungwa na Gibril Sillah dakika ya 33 ikiwa ni dakika 10 baada ya beki wa Yanga kutolewa kwa kadi nyekundu..... Hili hapa ni goli na kilichosababisha kadi nyekundu...
Steven Mukwala ameifungia Simba goli pekee na la ushindi dakika ya mwisho ya mchezo, dhidi ya Mashujaa FC, kwenye Dimba la Lake Tanganyika, Kigoma..... Tazama matukio yote muhimu ya mchezo huu.... Hii ni #NBCPremierLeague
Pacome Zouzoua amepiga goli pekee na la ushindi kwa Yanga ikiitandika Singida Black Stars bao 1-0 kwenye Uwanja wa Amaan Complex, Zanzibar.. Hii ni mechi ya ligi kuu ya NBC #NBCPremierLeague
Mwamuzi mstaafu wa soka Osman Kazi ameondoa utata wa maamuzi kwenye matukio yaliyojiri kwenye mchezo wa NBC Premier League kati ya Simba SC dhidi ya Yanga SC uliopigwa Oktoba 19, 2024.
KARIAKOO DERBY | Goli pekee la kujifunga kupitia kwa Kelvin Kijili, limeipa Yanga pointi tatu muhimu katika mchezo wa Kariakoo Derby, #NBCPremierLeague , ukipigwa kwenye Dimba la Benjamin Mkapa. Tazama highlights....
John Bocco amefunga magoli mawili dakika ya 21 na 26, akiiongoza JKT Tanzania kuichapa Tabora United mabao 4-2 ,katika mchezo wa #NBCPremierLeague uliopigwa kwenye Dimba la Meja Jenerali Isamuhyo. Dar es Salaam. Magoli mengine yametoka kwa Edward Songo dakika ya 58 na Said Ndemla dakika ya 63... huku magoli ya Tabora United yakifungwa na Offen Chikola dakika ya 42 na Yacouba Sogne dakika ya 90. Haya hapa magoli yote sita....
Tazama beki wa DR Congo, Hennock Inonga alivyokwenda kuwasilimia wachezaji wa Taifa Stars, walipokuwa kwenye mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Marty's jana Alhamisi ya Oktoba 9, 2024 Inonga kwa sasa anacheza soka nchini Morocco akitokea klabu ya Simba ya Tanzania. Stars itashuka dimbani leo Oktoba 10, 2024 dhidi ya DR Congo mchezo wa kundi ‘H’ #KufuzuAFCON2025. #KufuzuAFCON2025 #AFCONQ2025 #MtoCongo #TaifaStars #Tanzania #CongoDR #DRCongo #CongoDRTanzania #DRCTanzania
Coastal Union imelazimisha sare ya 2-2 dhidi ya Simba katika mchezo wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara uliopigwa kwenye Dimba KMC Complex, Dar es Salaam. Simba wametangulia kwa magoli mawili kipindi cha kwanza kutoka kwa Mohamed Hussein Zimbwe Jr. na Lionel Ateba kwa penati , lakini Coastal wakacharuka kipindi cha pili na kupata magoli mawili kupitia kwa Abdallah Hassan na Hernest Malonga.... Tazama highlights....
Mnyama Simba SC licha ya kupoteza Ubingwa wa NBC Premier League bado aendelea kutoa vichapo na hii leo amefanikiwa ...
Wachezaji waliocheza mchezo uliopita ni wachezaji halali wa Simba” maneno ya kocha msaidizi wa Simba SC, Juma Mgunda ...
Fuatilia matangazo mbashara ya uchambuzi wa mechi ya NBC Premier League kati ya Singida Big Stars dhidi ya Yanga SC, ...
Simba SC imelazimishwa sare ya bao 1-1 na namungo FC katika mchezo wa ligi kuu ya NBC #NBCPremierLeague uliopigwa leo ...
Simba SC imelazimishwa sare ya bao 1-1 na namungo FC katika mchezo wa ligi kuu ya NBC #NBCPremierLeague uliopigwa leo ...
"....lazima nilipize mateso niliyopata" - Kumbe straika wa Yanga, Fiston Mayele alikuwa na kisasi na Rivers United..... Hebu sikia ...
Msikie mchambuzi wa soka Ramadhan Mbwaduke akikokotoa idadi ya pasi za Simba SC kwenye mechi zote mbili za Ligi ya ...