Azam TV's user profile page. Match highlights, posts and more on site!“” Report User |
Lionel Ateba amefunga goli katika mchezo wake wa kwanza ndani ya Simba, lakini likachomolewa kipindi cha pili na Serge Pokou dakika ya 76, na matokeo yakawa ni sare ya bao 1-1 kati ya Simba vs Al Hilal. Ni mchezo wa kirafiki uliopigwa kwenye Dimba la KMC, Mwenge Dar es Salaam
Maxi Nzengeli na Clement Mzize wamefunga magoli mawili, Yanga ikishinda 2-0 dhidi ya Kagera Sugar kwenye Dimba la Kaitaba Bukoba, mchezo wa #NBCPremierLeague
Clatous Chama amefunga goli moja na kutoa assist nne, Yanga SC ikiwanyoosha Vital'O ya Burundi kwa kichapo kizito cha magoli 6-0 katika mchezo wa marudiano Ligi ya Mabingwa Afrika #CAFCL uliopigwa kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi.... Waliofunga magoli hayo ni Pacome Zouzoua kwa penati dakika ya 14, Clement Mzize dakika ya 49, Clatous Chama dakika 51, Prince Dube dakika 71, Stephane Aziz Ki dakika ya 78 na Mudathir Yahya dakika ya 86.
Clatous Chama amefunga goli moja na kutoa assist nne, Yanga SC ikiwanyoosha Vital'O ya Burundi kwa kichapo kizito cha magoli 6-0 katika mchezo wa marudiano Ligi ya Mabingwa Afrika #CAFCL uliopigwa kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi.... Waliofunga magoli hayo ni Pacome Zouzoua kwa penati dakika ya 14, Clement Mzize dakika ya 49, Clatous Chama dakika 51, Prince Dube dakika 71, Stephane Aziz Ki dakika ya 78 na Mudathir Yahya dakika ya 86. Haya hapa magoli yote......
Magoli manne yamefungwa, Yanga ikishinda 4-0 ugenini dhidi ya Vital'o ya Burundi, mchezo wa kwanza hatua ya awali kwenye Ligi ya Mabingwa barani Afrika ukipigwa kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi. Wafungani ni Prince Dube dakika 6, Clatous Chama dakika ya 68, Clement Mzize dakika ya 74 na Stephane Aziz Ki kwa penati dakika ya 90.
Magoli manne yamefungwa, Yanga ikishinda 4-0 ugenini dhidi ya Vital'o ya Burundi, mchezo wa kwanza hatua ya awali kwenye Ligi ya Mabingwa barani Afrika ukipigwa kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi. Wafungani ni Prince Dube dakika 6, Clatous Chama dakika ya 68, Clement Mzize dakika ya 74 na Stephane Aziz Ki kwa penati dakika ya 90.
Magoli matano yamefungwa, Yanga ikishinda 4-1 dhidi ya Azam Fc katika mchezo wa fainali #NgaoYaJamii2024 ikipigwa kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar s Salaam. Magoli ya Yanga yametoka kwa Prince Dube 19', Yoro Diaby 28' goli la kujifunga, Stephane Aziz Ki 31' na Clement Mzize 90’+3 , huku Azam FC wakitangulia kwa goli la Feisal Salum Feitoto 13'.
KARIAKOO DERBY | Goli pekee kutoka kwa Maxi Nzengeli dakika ya 44 limewapeleka Yanga fainali ya #NgaoYajamii2024 wakiwafunbga Simba bao 1-0 kwenye mchezo wa nusu fainali uliopigwa Dimba la Benjamin Mpaka, Dar es Salaam
Ni mjadala wa mapitio ya kurasa za michezo kwenye magazeti ya leo Aprili 29, 2023 ambapo kubwa ni kiwango kilichooneshwa ...
SIMBA MOROCCO: Baadhi ya viongozi walioambatana na kikosi cha Simba nchini Morocco akiwemo Dkt. Seif Muba, lakini pia ...
SIMBA MOROCCO: Kocha Msaidizi wa Simba, Juma Mgunda, kuelekea mchezo wao wa ugenini dhidi ya Wydad Casablanca, ...
SIMBA MOROCCO: Sikia Kauli ya Kocha wa Simba, Roberto Olviera #Robertinho kuelekea mchezo wao dhidi ya Wydad ...
SIMBA MOROCCO: Mtendaji Mkuu wa Simba, Imani Kajula kutoka Casablanca nchini Morocco anazungumza kuhusu muda wa ...
"Kutokana na mtiririko wa kimazingira Ally Salim ataendelea kudaka" Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally ...
Azam FC yaichapa Ruvu Shooting kwenye NBC Premier League, yajipanga kuiwinda Simba SC kwenye Azam Sports Federation ...
Kagera Sugar waliokuwa pungufu kwa zaidi ya dakika 45 wamepata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mbeya City kwenye Dimba la ...