Azam TV's user profile page. Match highlights, posts and more on site!

“”

 Report User

Latest Posts

VITASA | Selemani Kidunda Vs Asemahle Wellem | Full Fight | - Usiku wa Vita 01/03/2024
VITASA | Selemani Kidunda Vs Asemahle Wellem | Full Fight | - Usiku wa Vita 01/03/2024

Hizi hapa hekaheka za Selemani Kidunda na Asemahle kwenye pambano lao la raundi 12. Pambano hili limemalizika bila mshindi yaani droo.



Simba SC 6-0 TRA Kilimanjaro | Highlights | Azam Sports Federation Cup - 28/02/2024
Simba SC 6-0 TRA Kilimanjaro | Highlights | Azam Sports Federation Cup - 28/02/2024

Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mechi ya Azam Sports Federation Cup kati ya Simba SC dhidi ya TRA Kilimanjaro. Magoli matatu yamefungwa na Sadio Kanoute, wengine ni Pa Omar Jobe, Fredy Michael Koublan na Ladack Chasambi



Simba SC 6-0 TRA Kilimanjaro | Magoli | Azam Sports Federation Cup - 28/02/2024
Simba SC 6-0 TRA Kilimanjaro | Magoli | Azam Sports Federation Cup - 28/02/2024

Tazama magoli yote sita ya Simba SC ikiichapa TRA Kilimanjaro FC kwenye mchezo wa Azam Sports Federation Cup. Magoli matatu yamefungwa na Sadio Kanoute, wengine ni Pa Omar Jobe, Fredy Michael Koublan na Ladack Chasambi



Yanga SC 5-0 Polisi Tanzania | Magoli | Azam Sports Federation Cup - 20/02/2024
Yanga SC 5-0 Polisi Tanzania | Magoli | Azam Sports Federation Cup - 20/02/2024

Tazama magoli ya Yanga SC ikiichapa Polisi Tanzania magoli 5-0. Mchezo wa raundi ya tatu ya michuano ya Azam Sports Federation Cup. Magoli yamefungwa na Joseph Guede, Farid Mussa, Clement Mzize na Shekhan Ibrahim



KMC 0-3 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League - 17/02/2024
KMC 0-3 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League - 17/02/2024

Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo wa NBC Premier League kati ya KMC dhidi ya Yanga SC. Yanga imeshinda kwa jumla ya magoli 3-0 Magoli yamefungwa na Mudathir Yahya ambaye amefunga mawili. Goli la tatu limefungwa na Pacome Zouzoua



JKT Tanzania 0-1 Simba SC | Highlights | NBC Premier League - 15/02/2024
JKT Tanzania 0-1 Simba SC | Highlights | NBC Premier League - 15/02/2024

Tazama mambo yalivyokuwa kwenye mechi kati ya JKT Tanzania dhidi ya Simba SC. Goli pekee lililopatikana kwenye mchezo huo limefungwa na Clatous Chota Chama



Simba SC 1-1 Azam FC | Highlights | NBC Premier League 09/02/2024
Simba SC 1-1 Azam FC | Highlights | NBC Premier League 09/02/2024

Clatous Chama ameifungia Simba goli la kusawazisha dakika ya 90 na kufanya matokeo yawe ni sare ya bao 1-1 dhidi ya Azam FC, mchezo wa ligi kuu ya NBC uliopigwa kwenye Dimba la CCM Kirumba, Mwanza. Katika mchezo huo mkali, Azam walitangulia kwa goli la Prince Dube dakika ya 14.



Tabora United 0-4 Simba SC | Highlights | NBC Premier League 06/07/2024
Tabora United 0-4 Simba SC | Highlights | NBC Premier League 06/07/2024

Simba SC imepata ushindi wa magoli 4-0 dhidi ya Tabora United, mchezo wa ligi kuu ya NBC uliopigwa kwenye Dimba la Ali Hassan Mwinyi, Tabora. Magoli ya Simba yametoka kwa Pa Omar Jobe, Sadio Kanoute, Che Malone Fondoh na Fredy Koublan.



Highlights

DAKIKA 90 | Uchambuzi mechi ya Tanzania Vs Uganda kuwania kufuzu AFCON 2023
DAKIKA 90 | Uchambuzi mechi ya Tanzania Vs Uganda kuwania kufuzu AFCON 2023

Tazama uchambuzi wa mechi ya kutafuta tiketi ya kufuzu AFCON 2023 kati ya Tanzania dhidi ya Uganda, mchezo huo ulimalizika ...



KUFUZU AFCON 2023 | Msuva afunguka ushindi wa Stars dhidi ya Uganda
KUFUZU AFCON 2023 | Msuva afunguka ushindi wa Stars dhidi ya Uganda

"Hatujamaliza tuna mechi tena nyingine" sehemu ya maneno ya mfungaji wa goli la Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) ...



KUFUZU AFCON 2023 | Shangwe la Watanzania baada ya Msuva kuichapa Uganda
KUFUZU AFCON 2023 | Shangwe la Watanzania baada ya Msuva kuichapa Uganda

Tazama nderemo na shangwe la Watanzania baada ya kushuhudia goli la Simon Msuva akiwatungua Uganda kwenye mchezo ...



DAKIKA 90 | Uchambuzi magoli saba ya Simba SC na mawili ya Yanga SC kimataifa
DAKIKA 90 | Uchambuzi magoli saba ya Simba SC na mawili ya Yanga SC kimataifa

Tazama uchambuzi wa yale yaliyojiri kwenye michezo ya Kimataifa wakati Simba SC ikiitandika Horoya bao saba na Yanga ...



Uchambuzi mechi ya Simba Vs Horoya, Yanga Vs US Monastir
Uchambuzi mechi ya Simba Vs Horoya, Yanga Vs US Monastir

Wasikie Wachambuzi mahiri wa kandanda ndani ya Sports AM ya #AzamSports1HD, Ramadhani Mbwaduke, Clarence Kunambi ...



KIPYENGA CHA MWISHO | Osman Kazi asawazisha utata mechi ya Mtibwa Sugar Vs Simba,Yanga Vs Geita Gold
KIPYENGA CHA MWISHO | Osman Kazi asawazisha utata mechi ya Mtibwa Sugar Vs Simba,Yanga Vs Geita Gold

Msikie Mwamuzi Mstaafu wa Kandanda nchini, Osman Kazi akisawazisha utata wa maamuzi mbalimbali ya Waamuzi kwenye ...



DROO YA ROBO FAINALI ASFC: Wapinzani wa Simba na Yanga walivyopatikana
DROO YA ROBO FAINALI ASFC: Wapinzani wa Simba na Yanga walivyopatikana

Droo ya upangaji ratiba ya robo fainali na nusu fainali Kombe la Shirikisho la Azam Sports, imefanyika leo na matokeo ni: Simba ...



DAKIKA 90 | Uchambuzi mechi za NBC Premier League mzunguko wa 24
DAKIKA 90 | Uchambuzi mechi za NBC Premier League mzunguko wa 24

Mzunguko wa 24 wa NBC Premier League umekuwa na taarifa za kustusha na kufurahisha kwa baadhi ya vilabu nchini huku ...




« Previous Next »


User Detail Page

You can find user latest posts and related content on the page. Friends, comments for events / matches are also available on the page. Even you can find users who are same pleasure with current user.

#Travel, #SupportYourTeam, #AllAboutSports