Azam TV's user profile page. Match highlights, posts and more on site!“” Report User |
Tazama taarifa mbalimbali za maandalizi ya Simba na Yanga SC kuelekea mechi zao za marudiano za robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika Afrika.
Tazama kipindi cha Mshikemshike Viwanjani ambacho kimekusanya habari mbalimbali ikiwemo taarifa ya Rais wa Yanga, Hersi Said akizungumzia mchakato wa mabadiliko ya klabu hiyo. Mashabiki wa Yanga wameanza safari ya kwenda Mamelodi
DAR DERBY: Yanga SC imeangukia pua kwa kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Azam FC, katika #DarDerby iliyopigwa leo Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Yanga imetangulia kupata bao kupitia kwa Clement Mzize dakika ya 10 kabla ya Azam kuchomoa dakika ya 19 kwa goli la Gibril Sillah na kisha Feisal Salum akafunga la ushindi dakika ya 51.
DAR DERBY: Yanga SC imeangukia pua kwa kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Azam FC, katika #DarDerby iliyopigwa leo Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Yanga imetangulia kupata bao kupitia kwa Clement Mzize dakika ya 10 kabla ya Azam kuchomoa dakika ya 19 kwa goli la Gibril Sillah na kisha Feisal Salum akafunga la ushindi dakika ya 51.
Clatous Chama amefunga magoli mawili muhimu dakika ya 57 na 73, Simba ikipata ushindi wa 2-0 dhidi ya Mashujaa FC, mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa #AzamComplex, Chamazi .
Stephane Aziz Ki ametoa 'assist' tatu na kufunga goli moja, Yanga ikiichakaza Ihefu kwa kichapo cha mabao 5-0, mchezo wa ligi kuu ya NBC #NBCPremierLeague kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi. Aliyefungua Dimba alikuwa ni Pacome Zouzoua dakika ya 10, Mudathir Yahya dakika ya 30, Aziz Ki dakika ya 68, Augustine Okrah dakika ya 84 na Maxi Nzengeli dakika ya 86.
Stephane Aziz Ki ametoa 'assist' tatu na kufunga goli moja, Yanga ikiichakaza Ihefu kwa kichapo cha mabao 5-0, mchezo wa ligi kuu ya NBC #NBCPremierLeague kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi. Aliyefungua Dimba alikuwa ni Pacome Zouzoua dakika ya 10, Mudathir Yahya dakika ya 30, Aziz Ki dakika ya 68, Augustine Okrah dakika ya 84 na Maxi Nzengeli dakika ya 86. Haya hapa magoli yote matano....
Simba SC imechezea kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Tanzania Prisons, katika mchezo wa ligi kuu ya NBC uliopigwa kwenye Dimba la Jamhuri, Morogoro. Magoli yote mawili ya Tanzania Prisons yamefungwa na Samson Mbangula dakika ya 45 na 62 huku goli pekee la Simba likipatikana dakika ya 89 kupitia kwa Fabrice ngoma. Tazama Highlights....
Azam FC imeichapa Mtibwa Sugar mabao 2-1 katika mchezo wa ligi kuu ya NBC uliochezwa leo kwenye Dimba la ...
Goli la Amisi Tambwe ni miongoni mwa magoli makali ya Singida Big Stars yaliyofungwa leo, na kuondoka na ushindi wa 3-0 ...
Goli la Amisi Tambwe ni miongoni mwa magoli makali ya Singida Big Stars yaliyofungwa leo, na kuondoka na ushindi wa 3-0 ...
Wasikie Mashabiki wa Timu ya Yanga kutoka Lubumbashi Congo wakizungumzia furaha yao baada ya timu hiyo kupata ushindi ...
Tazama msafara wa viongozi wa Yanga ulivyowasili ndani ya dimba la TP Mazembe tayari kuishuhudia mechi. Waliopo hapo ni ...
Tazama mapokezi ya kikosi cha Yanga baada ya kurejea hotelini ikitoka katika dimba la TP Mazembe ambako imewachapa ...
Klabu ya Yanga imeendeleza utamaduni wake wa kurudisha kwa jamii baada ya leo kutembelea na kutoa msada kwenye kituo ...
Tazama 'mzuka' huu wa mashabiki wa Raja Casablanca kuelekea mechi yao ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) dhidi ya ...