Azam TV's user profile page. Match highlights, posts and more on site!

“”

 Report User

Latest Posts

MAGOLI: Yanga yaipiga Dodoma Jiji 4-0; Aziz Ki afikisha 17; NBC PL 22/05/2024
MAGOLI: Yanga yaipiga Dodoma Jiji 4-0; Aziz Ki afikisha 17; NBC PL 22/05/2024

Stephane Aziz Ki amefunga magoli mawili na kufikisha magoli 17 katika mbio za ufungaji bora, Yanga ikiibugiza Dodoma Jiji mabao 4-0 kwenye Dimba la Jamhuri, Dodoma. Ni mchezo wa #NBCPremierLeague uliofunguliwa na goli la Clement Mzize dakika ya 10 kabla ya Aziz kufunga mawili dakika ya 45+3 kwa penati na dakika ya 51, na kisha Maxi Nzengeli akafunga kazi kwa goli la nne dakika ya 78. Magoli yote manne haya hapa....



Magoli | Simba SC 4-1 Geita Gold | NBC Premier League 21/05/2024
Magoli | Simba SC 4-1 Geita Gold | NBC Premier League 21/05/2024

Simba SC imepata ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Geita Gold FC, mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa leo Azam Complex, Chamazi. Geita walitangulia kwa goli la Geofrey Julius dakika ya 11, kabla ya Simba kusawazisha dakika ya 45 kwa penati ya Saidi Ntibazonkiza ambaye pia alifunga la pili dakika ya 72 kwa free-kick. Aliyekamilisha mabao mawili ya mwisho ni Ladaki Chasambi dakika ya 86 na 90..... Haya hapa magoli...



Ihefu SC 0-1 Yanga SC | Highlights | Nusu Fainali CRDB Bank Federation CUP 19/05/2024
Ihefu SC 0-1 Yanga SC | Highlights | Nusu Fainali CRDB Bank Federation CUP 19/05/2024

Goli pekee la Stephane Aziz ki limeipeleka Yanga fainali yake ya tano ya michuano ya #CRDBBankFederationCup ikishinda 1-0 dhidi ya Ihefu SC, mchezo wa nusu fainali uliopigwa Sheikh Amri Abeid Arusha. Yanga sasa itakutana na Azam FC katika mchezo wa fainali, Juni 02, 2024.



Dodoma Jiji 0-1 Simba SC | Highlights | NBC Premier League 17/05/2024
Dodoma Jiji 0-1 Simba SC | Highlights | NBC Premier League 17/05/2024

Goli pekee la Freddy Michael Koublan limeipa Simba pointi tatu muhimu, wakiichapa Dodoma Jiji 1-0 kwenye Dimba la Jamhuri, Dodoma. Hii ni #NBCPremierLeague



Mtibwa Sugar 1-3 Yanga SC  | Highlights | NBC Premier League 13/05/2024
Mtibwa Sugar 1-3 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League 13/05/2024

Yanga SC imeichapa Mtibwa Sugar 3-1 na kutangaza ubingwa wake wa 30 kwenye ligi kuu ya NBC Tanzania Bara ikiwa na mechi tatu mkononi baada ya kufikisha alama 71 ambazo hazifikiwi na timu nyingine. Mtibwa ndiyo waliotangulia kupata bao dakika ya 32 kupitia kwa Charles Ilanfya lakini Yanga wakachomoa dakika ya 62 kwa goli la Kennedy Musonda, Nasry Kombo akajifunga dakika ya 66 na Clement Mzize akamaliza kazi dakika ya 81. Tazama highlights...



Magoli | Mtibwa Sugar 1-3 Yanga SC | NBC Premier League 13/05/2024
Magoli | Mtibwa Sugar 1-3 Yanga SC | NBC Premier League 13/05/2024

Yanga SC imeichapa Mtibwa Sugar 3-1 na kutangaza ubingwa wake wa 30 kwenye ligi kuu ya NBC Tanzania Bara ikiwa na mechi tatu mkononi baada ya kufikisha alama 71 ambazo hazifikiwi na timu nyingine. Mtibwa ndiyo waliotangulia kupata bao dakika ya 32 kupitia kwa Charles Ilanfya lakini Yanga wakachomoa dakika ya 62 kwa goli la Kennedy Musonda, Nasry Kombo akajifunga dakika ya 66 na Clement Mzize akamaliza kazi dakika ya 81. Haya hapa magoli yote...



Azam FC 0-3 Simba SC | Highlights | NBC Premier League 09/05/2024
Azam FC 0-3 Simba SC | Highlights | NBC Premier League 09/05/2024

MZIZIMA DERBY: Simba FC imeshinda 3-0 dhidi ya Azam FC, mchezo wa ligi kuu ya NBC ukipigwa kwenye Dimba la Benjamin Mkapa Dar es Salaam. Magoli yote yamefungwa kipindi cha pili akianza Sadio Kanoute dakika ya 63, Fabrice Ngoma dakika ya 77 na David Kameta dakika ya 89. Azam FC walipata penati mapema lakini walikosa kupitia kwa Feisal Salum.... lakini pia kuna utata kuhusu tukio la Azam kupata goli iliyoamuliwa kuwa ilikuwa ni off-side.



Azam FC 0-3 Simba SC | Magoli, Penati, Off-side | NBC Premier League 09/05/2024
Azam FC 0-3 Simba SC | Magoli, Penati, Off-side | NBC Premier League 09/05/2024

MZIZIMA DERBY: Simba FC imeshinda 3-0 dhidi ya Azam FC, mchezo wa ligi kuu ya NBC ukipigwa kwenye Dimba la Benjamin Mkapa Dar es Salaam. Magoli yote yamefungwa kipindi cha pili akianza Sadio Kanoute dakika ya 63, Fabrice Ngoma dakika ya 77 na David Kameta dakika ya 89. Azam FC walipata penati mapema lakini walikosa kupitia kwa Feisal Salum.... lakini pia kuna utata kuhusu tukio la Azam kupata goli iliyoamuliwa kuwa ilikuwa ni off-side.



Highlights

Simba 2-0 Yanga | Highlights | NBC Premier League 16/04/2023
Simba 2-0 Yanga | Highlights | NBC Premier League 16/04/2023

KARIAKOO DERBY: Magoli mawili kutoka kwa Hennock Inonga na Kibu Denis yameipa Simba ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya ...



Magoli | Simba 2-0 Yanga | NBC Premier League 16/04/2023
Magoli | Simba 2-0 Yanga | NBC Premier League 16/04/2023

KARIAKOO DERBY: Magoli mawili kutoka kwa Hennock Inonga na Kibu Denis yameipa Simba ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya ...



Hat-trick ya Aziz Ki | Yanga 5-0 Kagera Sugar | NBC Premier League - 11/04/2023
Hat-trick ya Aziz Ki | Yanga 5-0 Kagera Sugar | NBC Premier League - 11/04/2023

Haya hapa magoli yote matatu yaliyotosha kabisa kwa Stephane Aziz Ki kuondoka na mpira wake kwenye mchezo wa NBC ...



Yanga 5-0 Kagera Sugar | Highlights | NBC Premier League 11/04/2023
Yanga 5-0 Kagera Sugar | Highlights | NBC Premier League 11/04/2023

Stephane Aziz Ki amepiga #hattrick yake ya kwanza tangu atue Jangwani, na kuipa Yanga ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya ...



Yanga walivyoifumua Kagera Sugar 5-0 | Aziz Ki apiga hat-trick | Magoli yote | NBCPL 11/04/2023
Yanga walivyoifumua Kagera Sugar 5-0 | Aziz Ki apiga hat-trick | Magoli yote | NBCPL 11/04/2023

YANGA 5-0 KAGERA SUGAR: Stephane Aziz Ki amepiga #hattrick yake ya kwanza tangu atue Jangwani, na kuipa Yanga ushindi ...



LIVE | UCHAMBUZI YANGA VS KAGERA SUGAR  - 11/04/2023
LIVE | UCHAMBUZI YANGA VS KAGERA SUGAR - 11/04/2023

Fuatilia matangazo mubashara ya uchambuzi wa mechi ya NBC Premier League kati ya Yanga SC na Kagera Sugar.



Ihefu 0-2 Simba |  Highlights | NBC Premier League 10/04/2023
Ihefu 0-2 Simba | Highlights | NBC Premier League 10/04/2023

Magoli mawili Jean Baleke ndani ya dakika mbili yameipa Simba ushindi wa 2-0 ugenini kwenye Dimba la Haghland Estate, ...



Magoli ya Baleke | Ihefu 0-2 Simba | NBC Premier League 10/04/2023
Magoli ya Baleke | Ihefu 0-2 Simba | NBC Premier League 10/04/2023

JEAN BALEKE: Magoli mawili Jean Baleke ndani ya dakika mbili yameipa Simba ushindi wa 2-0 ugenini kwenye Dimba la ...




« Previous Next »


User Detail Page

You can find user latest posts and related content on the page. Friends, comments for events / matches are also available on the page. Even you can find users who are same pleasure with current user.

#Travel, #SupportYourTeam, #AllAboutSports