SIKIA MANENO YA MANARA "Tiki Taka kwa Mkapa" || AWAZUIA MASHABIKI WA YANGA
Msemaji wa klabu ya Simba Haji Manara akizungumzia maandalizi na mchakato mzima wa mchezo wa marudiano wa michuano ya klabu bingwa Afrika kati yao dhidi ya Plateau United ya nchini Nigeria.