Content removal request!


YANGA 1 VS 1 NAMUNGO || REFA ASHIKA KICHWA BAADA YA NAMUNGO KUKOSA PENATI

Katika tukio ambalo lilionekana kuwakera mashabiki wa Yanga basi ni Namungo kupata mkwaju wa Penati dakika za majeruhi, na kuwatupia lawama zote marefa wa mchezo huo.