Dream Online Tv's user profile page. Match highlights, posts and more on site!“” Report User |
Hongera Simba, mlistahili taji la 2018-19,Taji La 20 Ligi Kuu Tanzania Bara,Simba 2 Singida United 0, Ni matokeo ya kuwa na kikosi bora zaidi kinachoundwa na wachezaji wenye vipaji vikubwa, na takwimu zote zinathibitisha.
BAADA ya kupoteza mchezowake wa jana kwa kufungwa mabao 2-1 na Simba, Kocha Mkuu wa Mbeya City, Ramadhan Nswanzurimo amesema kuwa kinachoiponza Simba kupokea vichapo ikiwa nje kwenye mashindano ya kimataifa ni kubebwa na waamuzi ambao wanashindwa kutafsri sheria 17.#Simba
Kiungo Mshambuliaji wa timu ya Simba, Hassan Dilunga, amewaomba radhi viongozi na mashabiki wa JKT Tanzania baada ya kuwafunga jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara. #Simba #JktTanzania
Baada ya kikosi cha Simba kuibuka na ushindi wa bao 1-0 katika dakika za mwisho jana dhidi ya JKT Tanzania, gumzo kubwa ni kuhusiana na dakika saba za mwisho zilizoongezwa na Mwamuzi wa mchezo huo. #Simba #TFF #yanga