Content removal request!


Hongera Simba, mlistahili taji la 2018-19,Taji La 20 Ligi Kuu Tanzania Bara.

Hongera Simba, mlistahili taji la 2018-19,Taji La 20 Ligi Kuu Tanzania Bara,Simba 2 Singida United 0, Ni matokeo ya kuwa na kikosi bora zaidi kinachoundwa na wachezaji wenye vipaji vikubwa, na takwimu zote zinathibitisha.