Content removal request!


DILUNGA ATANGAZA KUOMBA RADHI JKT TANZANIA

Kiungo Mshambuliaji wa timu ya Simba, Hassan Dilunga, amewaomba radhi viongozi na mashabiki wa JKT Tanzania baada ya kuwafunga jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara. #Simba #JktTanzania