GOLI LA KUONGOZA KWA TIMU YA TAIFA YA SENEGAL LILILOFUNGWA NA ABOULAYE SECH DHIDI YA BENIN
GOLI LA KUONGOZA KWA TIMU YA TAIFA YA SENEGAL LILILOFUNGWA NA ABOULAYE SECH DHIDI YA BENIN

Kwa story zaidi za kimichezo, matukio, vicheko na vilio vya kispoti tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii : ▻JOIN OUR ...



“Ni jukumu letu kupambana ili kupata matokeo mazuri” – Kiungo wa Taifa Stars, Himid Mao akijibu maswali ya wanahabari kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya Niger. Ni mechi ya kuwania kufuzu AFCON 2023 kati ya Tanzania vs Niger, kesho saa 10:00 jioni LIVE #ZBC2kwa Tanzania pekee…



Mashabiki wa timu mbili pendwa Tanzania za Simba na Yanga, kesho wanaungana kwa pamoja kuishangilia Taifa Stars itakaposhika katika dimba la Mkapa kuikabili timu ya Taifa ya Niger. Yakiwa ni mashindano ya kufuzu mashindano ya Kombe la mataifa ya Afrika (AFCON). 

#TaifaStars #TFF

Mashabiki wa timu mbili pendwa Tanzania za Simba na Yanga, kesho wanaungana kwa pamoja kuishangilia Taifa Stars itakaposhika katika dimba la Mkapa kuikabili timu ya Taifa ya Niger. Yakiwa ni mashindano ya kufuzu mashindano ya Kombe la mataifa ya Afrika (AFCON). #TaifaStars #TFF



Kikosi cha timu ya Taifa ya Zambia 🇿🇲 kinachoshuka dimbani saa 10:00 jioni kuvaana na Ivory coast

#AFCONQUALIFIERS

Kikosi cha timu ya Taifa ya Zambia 🇿🇲 kinachoshuka dimbani saa 10:00 jioni kuvaana na Ivory coast #AFCONQUALIFIERS



Timu ya Tanzania 'Taifa Stars' inaenda kucheza mchezo wa kusaka tiketi ya kufuzu michuano ya AFCON dhidi ya Niger kwenye dimba Ia Benjamin Mkapa

Kabla ya mchezo huu Stars ilipoteza nyumbani kwenye dimba Ia Benjamin Mkapa mbele ya Uganda kwa bao 1-0

Timu ya Tanzania 'Taifa Stars' inaenda kucheza mchezo wa kusaka tiketi ya kufuzu michuano ya AFCON dhidi ya Niger kwenye dimba Ia Benjamin Mkapa Kabla ya mchezo huu Stars ilipoteza nyumbani kwenye dimba Ia Benjamin Mkapa mbele ya Uganda kwa bao 1-0



Adebayor atatua Nchini Tanzania na timu yake ya Taifa ya Niger huku viongozi wa Simba Sc wakiwa Tayari wamejiandaa kukutana na Mchezaji huyo ili kuangalia uwezekano wa kusaini kandarasi Mpya ya kuitumikia simba Sc Msimu Ujao.

Adebayor atatua Nchini Tanzania na timu yake ya Taifa ya Niger huku viongozi wa Simba Sc wakiwa Tayari wamejiandaa kukutana na Mchezaji huyo ili kuangalia uwezekano wa kusaini kandarasi Mpya ya kuitumikia simba Sc Msimu Ujao.




« Previous Next »


Popular Tags

#Mesut Ozil  #Allen Iverson  #Amazing Solo Goals  #Miami Heat  #Best Goalkeeper Saves  #LeBron James  #Paul Pogba  #Franck Ribery  #Cristiano Ronaldo  #Anthony Davis  

Popular Users

#CP3  #taylorswift13  #MichelleDBeadle  #JasonDufner  #kevinlove  #CMPunk  #rogerfederer  #MileyCyrus  #cesc4official  #incarceratedbob  #neymarjr  #Buster_ESPN  #TheChristinaKim  #oldhossradbourn  #jadande