Content removal request!


“Ni jukumu letu kupambana ili kupata matokeo mazuri” – Kiungo wa Taifa Stars, Himid Mao akijibu maswali ya wanahabari kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya Niger. Ni mechi ya kuwania kufuzu AFCON 2023 kati ya Tanzania vs Niger, kesho saa 10:00 jioni LIVE #ZBC2kwa Tanzania pekee…