NICOLÁS SIRI'S BEST GOALS ⚽️
NICOLÁS SIRI'S BEST GOALS ⚽️

New Salford City signing Nicolás Siri's best goals throughout his young career! Like us on Facebook: ...



JUSTIN KESSY: SIO SIRI ! YANGA HANA MPINZANI KWENYE UBUNIFU WA JEZI | GSM AMESHINDIKANA KIBIASHARA
JUSTIN KESSY: SIO SIRI ! YANGA HANA MPINZANI KWENYE UBUNIFU WA JEZI | GSM AMESHINDIKANA KIBIASHARA

The Official YouTube Channel Account J&R Mtita Friom Tanzania Regrister by Tanzania Communications Regulation Authority (TCRA) Booking : jrmtitatv@gmail.com Contact : +255 716 051 853



UCHAMBUZI JUSTINE KESSY ATOBOA SIRI SAJILI 3 ZA YANGA CAF, NI KUFURU!
UCHAMBUZI JUSTINE KESSY ATOBOA SIRI SAJILI 3 ZA YANGA CAF, NI KUFURU!

©TUNAKUPA HABARI ZA UHAKIKA KUTOKA VYANZO VYA KUAMINIKA --------------------------------------------------------------------------------- JIUNGE NA CHANNEL YETU YA TELEGRAM APA: REPORT TO US If you find any error in material provided please take a minute to tell us about it. We will resolve it at the earliest. COPYRIGHT VIOLATION For Copyright Issues: We try our best to verify the ownership of content with the contributor. If you think your material is wrongly used, or if its a violation of copyright, email us 1998nicholaus@gmail.com Welcome to REAL in the right place, by accessing Entertainment, Fashion and Sports news from within and outside the borders of Tanzania, our goal is to provide you with reliable and accurate information. Please click the SUBSCRIBE button to become a family member of this channel



Kocha Msaidizi Simba SC, Matola atoa ratiba ya kikosi hicho, Abel afichua siri ya kambi
Kocha Msaidizi Simba SC, Matola atoa ratiba ya kikosi hicho, Abel afichua siri ya kambi

KUTOKA ISMAILIA: “Mwaka jana Fadlu alikuwa ni mgeni lakini mwaka huu ameshakuwa mwenyeji na ameshajua karibu wachezaji wote” Kocha msaidizi wa Simba SC, Selemani Matola amesema ushindani ni mkubwa ndani ya kikosi hicho kwasababu kila mchezaji anataka kuonesha uwezo wake. Matola pia ametoa ratiba ya kikosi hicho watakapofika jijini Cairo. Mchezaji Saleh Karabaka anasema kuingia kwenye maji yenye barafu ni shughuli nzito kwake, ni lazima pawepo watu watatu kumshika. Wachezaji wengine waliozungumzia maendeleo ya kambi hiyo ni pamoja na Bajaber Mohamed, Morice Abraham pamoja na Hussein Abel ambaye amefichua namna wachezaji ‘walivyoamka’ kambini. #Simba




« Previous Next »


Popular Tags

#Stephen Curry  #LeBron James  #Paul Pogba  #Chicago Bulls  #Zlatan Ibrahimovi  #Best Goalkeeper Saves  #New York Knicks  #Best Ball Controls  #Counter Attack Goals Football  #LeBron James  

Popular Users

#_BAnderson30_  #neymarjr  #katzm  #MieshaTate  #nyt4thdownbot  #iamsrk  #Oprah  #rolopez42  #DeionSanders  #BringerOfRain20  #criscyborg  #cnnbrk  #selenagomez  #GNev2