MAPOVU YA AHMED ALLY"NYUMA MWIKO WAACHE KUMTUPIA MAJINI MAYELE/WAJIFUNZE KUACHANA VIZURI NA WACHEZAJ
MAPOVU YA AHMED ALLY"NYUMA MWIKO WAACHE KUMTUPIA MAJINI MAYELE/WAJIFUNZE KUACHANA VIZURI NA WACHEZAJ

Kikosi cha Simba SC,kimerejea Jijini Dar es salaam leo Februari 13,2024 kikitokea Jijini Mwanza baada ya kucheza michezo minne ya ligi kuu ya NBC katika Mikoa Mitatu,Februari 3 dhidi ya Mashujaa FC Kigoma,Februari 6 dhidi ya Tabora United, Tabora,Februari 9 dhidi ya Azam FC Mwanza na Februari 12 dhidi ya Geita Gold Mwanza. Kwenye Michezo hiyo Minne Simba SC imevuna Alama 10 kati ya 12,imemfunga Mashujaa FC 1-0,Ikamfunga Tabora United 4-0,Ikatoka Sare ya 1-1 na Azam FC na ikamfunga Geita Gold 1-0.



Simba SC 1-1 Azam FC | Highlights | NBC Premier League 09/02/2024
Simba SC 1-1 Azam FC | Highlights | NBC Premier League 09/02/2024

Clatous Chama ameifungia Simba goli la kusawazisha dakika ya 90 na kufanya matokeo yawe ni sare ya bao 1-1 dhidi ya Azam FC, mchezo wa ligi kuu ya NBC uliopigwa kwenye Dimba la CCM Kirumba, Mwanza. Katika mchezo huo mkali, Azam walitangulia kwa goli la Prince Dube dakika ya 14.



Yanga 1-1 Simba | U20 Premier League | Highlights 21/01/2024
Yanga 1-1 Simba | U20 Premier League | Highlights 21/01/2024

Ni mechi ya Ligi Kuu ya Vijana U20 Tanzania Bara iliyopigwa Azam Complex, Chamazi, Simba na Yanga U20 zikitoka sare ya bao 1-1. Ametangulia kufunga Juma Yusuph wa Simba dakika ya 7 kabla ya Willyson Christopher kuchomoa dakika 39. Hii ni #KariakooDerbyU20




« Previous Next »


Popular Tags

#Russell Westbrook  #LeBron James  #Stephen Curry  #Cristiano Ronaldo  #Kevin Durant  #Best Champions League  #Best Goals  #Cleveland Cavaliers  #Best Football Defending Skills  #Paul Pogba  

Popular Users

#NASA  #obj  #cesc4official  #UKCoachCalipari  #neymarjr  #imVkohli  #JLo  #kevinlove  #GNev2  #ArianFoster  #fauxpelini  #CP3  #baseballpro  #nyt4thdownbot