Ni mechi ya Ligi Kuu ya Vijana U20 Tanzania Bara iliyopigwa Azam Complex, Chamazi, Simba na Yanga U20 zikitoka sare ya bao 1-1. Ametangulia kufunga Juma Yusuph wa Simba dakika ya 7 kabla ya Willyson Christopher kuchomoa dakika 39. Hii ni #KariakooDerbyU20