Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars SIMBA SC imeanza mapema utawala katika Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya ushindi wa 3-0 dhidi ya Kagera Sugar katika mchezo uliofanyika Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba Septemba 26, 2019. Kikosi cha Kagera Sugar kilikuwa; Said Kipao, Mwaita Gereza, David Luhende, Hassan Isihaka, Erick Kyaruzi/Juma Nyoso dk46, Zawadi Mauya, Awesu Awesu, Ally Ramadhani, Evarigestus Mjwahuki, Abdallah Seseme na Yussuf Mhilu/Peter Mwalyanzi dk50. Simba SC; Aishi Manula, Shomari Kapombe, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’, Tairone Santos, Serge Wawa, Gerson Fraga ‘Viera’, Deo Kanda/Miraj Athuman dk62, Muzamil Yassin, Meddie Kagere/Wilker Da Silva dk87, Sharaf Eldin Shiboub na Ibrahim Ajibu/Hassan Dilunga dk71. Mechi nyingine ya Ligi Kuu, Lipuli FC wamelazimishwa sare ya 2-2 na Mbeya City Uwanja wa Samora mjini Iringa. Mabao ya Lipuli FC yamefungwa Issa Rashid dakika ya 15 na Paul Nonga dakika ya 77, wakati ya Mbeya City yamefungwa na George Chota dakika ya 47 na Ibrahim Mwakamole dakika ya 86. Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/Kidanistars
Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars MABINGWA watetezi, #SimbaSC wameanza vyema msimu mpya wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya #JKTTanzania jioni ya leo Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam. #EdwardSongo Kikosi cha JKT Tanzania kilikuwa; Abdulrahman Mohammed, Madenge Ramadhani/Michael Aidan dk64, Edward Charles, Mohammed Fakh, Rahim Juma, Jabir Aziz, Mwinyi Kazimoto, Hafidh Mussa, Hassan Matalema/Said Luyaya dk79, Danny Lyanga na Ally Bilal/EdwardSongo dk62. Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/Kidanistars
Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Msemaji wa Simba Haji Manara akiwa katika Hoteli ya Pick ya jijini Mbeya amejibu shutuma za klabu hiyo kutumia fedha na kupendelewa ili ipate matokeo uwanjani. Akizungumza juu ya tuhuma za Kocha wa Yanga Mwinyi Zahera na Kocha wa Mbeya City Ramadhani Nsanzurwimo, amelitaka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuwa makini na hizi tuhuma zinazotolewa na baadhi ya makocha wa ligi kuu. “Sina maana ya kuwataka TFF kuwafungia hao makocha wanaotoa tuhuma ila wajaribu kutoa onyo ili haya mambo yasijirudie kwenye ligi yetu”amesema Haji Manara . Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/kidanistars
Azam FC wakiwa kwenye uwanja wao wa nyumbani Azam Complex imeendeleza dozi ya ushindi mnono kwa kuitandika Singida United mabao 4-0. Magoli ya Azam yamefungwa na Ramadhani Singano dakika ya 66, Joseph Mahundi dakika ya 74 na Donald Ngoma aliyefunga mawili dakika ya 77 na 90. Kwa ushindi huo Azam imefikisha alama 59 ikiwa nyuma ya alama nane dhidi ya vinara Yanga.
Azam FC wakiwa kwenye uwanja wao wa nyumbani Azam Complex imeendeleza dozi ya ushindi mnono kwa kuitandika Singida United mabao 4-0. Magoli ya Azam yamefungwa na Ramadhani Singano dakika ya 66, Joseph Mahundi dakika ya 74 na Donald Ngoma aliyefunga mawili dakika ya 77 na 90. Kwa ushindi huo Azam imefikisha alama 59 ikiwa nyuma ya alama nane dhidi ya vinara Yanga.
Stapac Jakarta akhirnya mendapatkan kemenangan pertama mereka di IBL musim 2018/2019. Usai kemarin kalah dari Bogor Siliwangi, Stapac kini berhasil mencuri satu kemenangan atas Satya Wacana Salatiga. Satya Wacana sendiri sedang dalam kondisi tidak full team dalam game ini, mereka kehilang bigman import mereka, Ronald Whitaker karena terkena suatu pelanggaran. Stapac sendiri juga tampil tidak full team, jelas mereka kehilangan 3 pemain mereka yang sedang membela timnas dan juga point guard import mereka, Jordin Mayes. Sebenarnya pertandingan berjalan dengan ketat sampai pada quarter 4, namun pada pertengahan quarter ke empat, Stapac mulai menunjukkan mental mereka sebagai tim papan atas. Stapac mampu membuat margin jauh dari Satya Wacana sehingga akhirnya Stapac mampu memenangkan pertandingan dengan skor 83-63. Savon Goodman dan Widyanta Putra Teja menjadi dua pemain yang paling berkontribusi dalam kemenangan ini, Savon mencetak 25 points, 17 rebounds dan 5 asis, sementara Widayanta mencetak 24 points, 8 rebounds dan 7 asis. Sumber video : IBL TV Thumbnail : Mainbasket.com tags : basket indonesia, fandi andika ramadhani, madarious gibbs, cio manuputty, gor sahabat semarang, indonesia basketball league, coach efri meldi, rizky efendi, oki wira sanjaya
Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars MSHAMBULIAJI Mganda, Emmanuel Okwi ameanza kuonyesha cheche katika msimu mpya wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya kufunga mabao matatu katika katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Ruvu Shooting ya Pwani usiku wa Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Kwa ushindi huo ulionakshiwa na mabao mengine mawili ya Mnyarwanda mwenye asili ya Uganda, Meddie Kagere na mzawa, Adam Salamba, #SimbaSC inafikisha pointi 23 baada ya kucheza mechi 10, ikiendelea kuwa nyuma ya Azam FC inayoongoza Ligi Kuu kwa pointi zake 27 za mechi 11. Okwi aliifungia Simba SC bao la kwanza dakika ya saba akimalizia krosi ya beki wa kulia, Shomari Kapombe baada ya kazi nzuri iliyofanywa na kiungo Shiza Ramadhani Kichuya. Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars #SIMBASC #YANGASC #LIGIKUU
Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars MSHAMBULIAJI Mganda, Emmanuel Okwi ameanza kuonyesha cheche katika msimu mpya wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya kufunga mabao matatu katika katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Ruvu Shooting ya Pwani usiku wa leo Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Kwa ushindi huo ulionakshiwa na mabao mengine mawili ya Mnyarwanda mwenye asili ya Uganda, Meddie Kagere na mzawa, Adam Salamba, Simba SC inafikisha pointi 23 baada ya kucheza mechi 10, ikiendelea kuwa nyuma ya Azam FC inayoongoza Ligi Kuu kwa pointi zake 27 za mechi 11. Okwi aliifungia Simba SC bao la kwanza dakika ya saba akimalizia krosi ya beki wa kulia, Shomari Kapombe baada ya kazi nzuri iliyofanywa na kiungo Shiza Ramadhani Kichuya. Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars #RuvuShooting #Simbasc