#simbasc #simbatanzania #simbatv #simbascfanstzaupdates #usajilimpyasimba #usajilileo #usajilisimbasc #usajiliyangasc #moodewji #ahmedyally #simbakimataifa #kombelashirikishoafrica #robofainali #Yanga #Yangasc #Yangatv #usajilimpyayanga #usajili #usajiliwayangasc #kinzumbi #Enghersi #yangaleo #Yangascmedia #yangaapp #Magoli #Azamtv #yanga #alikamwe #simbasc #simbatanzania #simbatv #simbascfanstzaupdates #usajilimpyasimba #usajilileo #usajilisimbasc #usajiliyangasc #moodewji #ahmedyally #simbakimataifa #kombelashirikishoafrica #robofainali #Yanga #Yangasc #Yangatv #usajilimpyayanga #usajili #usajiliwayangasc #kinzumbi #Enghersi #yangaleo #Yangascmedia #yangaapp #Magoli #Azamtv #yanga #alikamwe #maxnzengeli #maxzengelisimba #feitoto #feitotosimba #azamtv #kikosichayanga #kikosichasimba #ligikuu #millardayo #mpenjatv #rockmedia #winnermedia
DODOMA JIJI FC YAVUNJA MWIKO WA YANGA SC/ DUBE, MWAMNYETO & MASALANGA WAPEWA LAWAMA KIPIGO CHA YANGA SC/ SIMBA SC UBINGWA WASHINDWE WAO MSIMU HUU.
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara, Yanga SC wamepoteza mchezo kwa mara ya kwanza msimu huu, wakichapwa 3-2 na Dodoma Jiji, mchezo, mchezo ukipigwa Airtel Stadium, Singida. Magoli ya Yanga yamefungwa na Allan Okello dakika ya 2 na 41, huku magoli ya Dodoma Jiji yakitoka kwa Bakari Mwamnyeto aliyejifunga dakika ya 29, Mwana Kibuta David dakika ya 90 na Wazir Junior Shemtembo dakika za nyongeza. Haya hapa magoli yote..
Yanga SC imepata ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Rayon Sports, katika mchezo wa kirafiki uliopigwa kwenye Dimba la Amahoro, jijini Kigali, Rwanda. Mchezo huo uliokuwa hitimisho la Siku ya Rayon Sports #RayonSportsDay , umeshuhudia wenyeji wakitangulia kwa goli la kujifunga kupitia kwa Aziz Andambwile. Yanga walicharuka na kupiga mabao matatu kupitia kwa Andy Boyeli, Pacome Zouzoua, na Bakari Mwamnyeto.