Kuelekea Mchezo wa NBC Premier league kati ya Yanga Sc Dhidi ya Polisi Tanzania, Moja ya shabiki kindaki ndaki wa Yanga Sc ...
Magoli mawili kutoka kwa George Mpole na Edmund John yameipa ushindi wa 2-0 Geita Gold dhidi ya Biashara United katika ...
Magoli mawili kutoka kwa George Mpole na Edmund John yameipa ushindi wa 2-0 Geita Gold dhidi ya Biashara United katika ...
Yanga SC leo wametangazwa kuwa Mabingwa wapya wa Ligi Kuu baada ya ushindi wa 3-0 dhidi ya Coastal Union ya Tanga katika mchezo uliyochezwa Benjamin Mkapa, Yanga ambao waliukosa Ubingwa kwa miaka minne mfululizo wametwaa Ubingwa wao wa 28 leo wakiwa na michezo mitatu mkononi, Yanga leo wamefikisha jumla ya point 67 ambazo haziwezi kufikiwa na timu yoyote ile hata kama watapoteza michezo yao mitatu iliyosalia, Simba anawafuatia akiwa na point 51 kacheza michezo 25 hata akishinda michezo yote mitano atakuwa na point 66.
Hapa kuna goli la Edmund John lililotengenezwa na George Mpole na kuna goli la George Mpole mwenyewe likiwa ni la 15 ...
Uchambuzi Magoli Yote Na KOSA KOSA Tanzania VS Algeria ,Shuhudia Utabe wa SAMATTA,MPOLE,MSUVA na KIB ...