Ihefu vs Ruvu Shooting | Goli la kwanza la msimu NBC Premier League 2022/23
Ihefu vs Ruvu Shooting | Goli la kwanza la msimu NBC Premier League 2022/23

GOLI LA KWANZA: Ally Bilaly wa Ruvu Shooting ndiye mfungaji wa goli la kwanza la msimu huu wa ligi kuu ya NBC ...



#Mayele na Bangala Watetema Mbele ya Inonga kwa staili ya KikongošŸ˜‚ #yanga #simba #derby #shorts..
#Mayele na Bangala Watetema Mbele ya Inonga kwa staili ya KikongošŸ˜‚ #yanga #simba #derby #shorts..

#Mayele na Bangala Watetema Mbele ya Inonga kwa staili ya KikongošŸ˜‚ #yanga #simba #derby #shorts.. @YoungAfricansSCTV Fiston Mayele, mfungaji wa mabao mawili ya Yanga Vs simba #fistonmayele #fistonmayele #dokii #mayele #simba #yanga #kariakooderby #shorts #sportsshorts #globaltv #azizki #bongo movies #tetema #atetema #watetema #yangabingwa



Coastal Union 1-1 Geita Gold | Highlights | NBC Premier League 29/06/2022
Coastal Union 1-1 Geita Gold | Highlights | NBC Premier League 29/06/2022

George Mpole amefunga goli lake la 17 dakika ya 11 kwenye ligi kuu msimu huu na kuibuka mfungaji bora katika mchezo huu, ...



Magoli | Coastal Union 1-1 Geita Gold | NBC Premier League 29/06/2022
Magoli | Coastal Union 1-1 Geita Gold | NBC Premier League 29/06/2022

George Mpole amefunga goli lake la 17 dakika ya 11 kwenye ligi kuu msimu huu na kuibuka mfungaji bora katika mchezo huu, ...



MSUVA AHUDHURIA SHEREHE ZA UBINGWA YANGA, ATAMANI MPOLE AWE MFUNGAJI BORA
MSUVA AHUDHURIA SHEREHE ZA UBINGWA YANGA, ATAMANI MPOLE AWE MFUNGAJI BORA

Yanga SC leo wametangazwa kuwa Mabingwa wapya wa Ligi Kuu baada ya ushindi wa 3-0 dhidi ya Coastal Union ya Tanga katika mchezo uliyochezwa Benjamin Mkapa, Yanga ambao waliukosa Ubingwa kwa miaka minne mfululizo wametwaa Ubingwa wao wa 28 leo wakiwa na michezo mitatu mkononi, Yanga leo wamefikisha jumla ya point 67 ambazo haziwezi kufikiwa na timu yoyote ile hata kama watapoteza michezo yao mitatu iliyosalia, Simba anawafuatia akiwa na point 51 kacheza michezo 25 hata akishinda michezo yote mitano atakuwa na point 66.



Mayele azawadiwa ng'ombe Manungu baada ya Yanga kuipiga 2-0 Mtibwa Sugar
Mayele azawadiwa ng'ombe Manungu baada ya Yanga kuipiga 2-0 Mtibwa Sugar

MAYELE APEWA NG’OMBE: Ni baada ya Yanga kupata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Mtibwa Sugar kwenye Dimba la Manungu mkoani Morogoro. Straika wa Yanga, Fiston Mayele ambaye alikuwa ndiye mfungaji wa bao la pili, amekutana na zawadi ya ng’ombe kutoka kwa shabiki Mauya. Hili hapa tukio la makabidhiano, huku Mayele mwenye akitoa neno la shukran.



Gendarmerie 1-1 Simba | Vituko vya Morrison na kauli ya kocha Pablo Franco
Gendarmerie 1-1 Simba | Vituko vya Morrison na kauli ya kocha Pablo Franco

Ni baada ya kumalizika kwa mechi ya #CAFConfederationCup nchini Niger matokeo yakiwa ni sare ya bao 1-1 kati ya Simba na US Gendarmerie ya huko. Hapa utasikia alichokisema mfungaji wa goli la Simba, Bernard Morrison kuhusu 'vichaa' ndani ya timu hiyo lakini pia maelezo ya kocha wa Simba kuhusu mchezo huo



Mzaramo wa Simba amchamba Manara kwa kizaramo | Mayele siyo mfungaji
Mzaramo wa Simba amchamba Manara kwa kizaramo | Mayele siyo mfungaji

Subscribe hapa : https://bit.ly/2UBtyaG Tufuate Kwenye Twitter : https://bit.ly/2UFkrWH Like Ukurasa wetu wa Facebook : https://bit.ly/2XbYro5




« Previous Next »


Popular Tags

#Counter Attack Goals Football  #Gareth Bale  #New York Knicks  #Best Champions League  #Paul Pogba  #Kawhi Leonard  #Cristiano Ronaldo  #Tristan Thompson  #LeBron James  #Neymar  

Popular Users

#BaileyLAKings  #cnnbrk  #rioferdy5  #ladygaga  #josecanseco  #justinbieber  #britneyspears  #MileyCyrus  #RobGronkowski  #DanicaPatrick  #ochocinco  #Harry_Styles  #jimmyfallon  #wizkhalifa  #TheCUTCH22