MSHIKEMSHIKE VIWANJANI AZAM TV 22 9 2018
MSHIKEMSHIKE VIWANJANI AZAM TV 22 9 2018

Simba SC 'yafumua' mfumo wa kikosi ili kuwakabili Mwadui FC hapo kesho kwenye dimba la Kambarage mkoani Shinyanga: Watafuta machungu waliyopewa na Mbao FC? Yanga SC kuendelea za wimbi la ushindi Dar? Azam FC je, suluhu zitaendelea ugenini? Kwa haya na mengine mengi ya kimichezo ungana na Ahmed Abdallah katika MSHIKEMSHIKE VIWANJANI.



Simba SC: Tumerekebisha mfumo kusaka ushindi kwa Mwadui FC
Simba SC: Tumerekebisha mfumo kusaka ushindi kwa Mwadui FC

Baada ya kupoteza mchezo wake wa Ligi Kuu Soka Tanzania Bara dhidi ya Mbao FC, mabingwa watetezi wa ligi hiyo, Simba SC leo wameendelea na mazoezi kwenye Uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga wakisema wamerekebisha mfumo mzima wa kikosi chao ili waweze kushinda dhidi ya Mwadui FC kesho Jumapili Septemba 23, 2018 kwenye Uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga. Meneja wa timu hiyo Abbas Ally anazungumzia marekebisho hayo.




« Previous


Popular Tags

#Russell Westbrook  #Kobe Bryant  #Miami Heat  #Lionel Messi  #Cristiano Ronaldo  #Best Ball Controls  #Kevin Durant  #Best Football Defending Skills  #Goal Celebrations  #Shot Goals  

Popular Users

#darrenrovell  #ddlovato  #Ky1eLong  #BizNasty2point0  #RobGronkowski  #MileyCyrus  #JayBilas  #YouTube  #themichaelowen  #NASA  #JoelEmbiid  #BellaTwins  #mcuban  #incarceratedbob  #SHAQ