Simba SC 'yafumua' mfumo wa kikosi ili kuwakabili Mwadui FC hapo kesho kwenye dimba la Kambarage mkoani Shinyanga: Watafuta machungu waliyopewa na Mbao FC? Yanga SC kuendelea za wimbi la ushindi Dar? Azam FC je, suluhu zitaendelea ugenini? Kwa haya na mengine mengi ya kimichezo ungana na Ahmed Abdallah katika MSHIKEMSHIKE VIWANJANI.