ALICHOKISEMA ANTONIO NUGAZ YANGA KUFUNGWA NA AFRICAN SPORTS MECHI YA KITAFIKI
ALICHOKISEMA ANTONIO NUGAZ YANGA KUFUNGWA NA AFRICAN SPORTS MECHI YA KITAFIKI

Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Yanga imepoteza mchezo wake wa kwanza ndani ya msimu huu baada ya kukubali kipigo cha bao 1-0 dhidi ya African Sports ya Tanga. Bao la dakika ya 75 la mshambuliaji Adam Uledi ndio lililowatibulia Yanga akiunasa mpira katikati ya mabeki wa Yanga kisha kwenda kumfunga kirahisi kipa Metacha Mnata aliyeingia kipindi cha pili kuchukua nafasi ya Farouk Shikhalo. Hata hivyo Yanga itajilaumu yenyewe ikitawala mchezo mzima na kutengeneza nafasi nyingi lakini walishindwa kuweka mpira wavuni. Kipindi cha kwanza Yanga ilitengeneza nafasi za wazi kupitia winga Tuisila Kisinda ambapo bafasi yake ya 8 akipewa pasi na Paul Godfrey lakini shuti la Kisinda lilipaa juu kidogo Dakika ya 38 Sports walijaribu kufika vizuri lango la Yanga lakini nahodha wao James Mendy alishindwa kutulia na kufunga akipokea pasi safi ya Moka Shaban. HABARI MPYA DAILY:https://bit.ly/3c3bEDc HABARI ZA MICHEZO: https://bit.ly/2TAgnWx HABARIZA WASANII: https://bit.ly/2X2f84R HABARI ZA SIASA: https://bit.ly/36r0xCW Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/Kidanistars Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars



METACHA MNATA: KOCHA KAZE ALINIAMBIA PENATI/ITAKAPOPIGWA/SENZO AUNGURUMA KAMA 'SIMBA'
METACHA MNATA: KOCHA KAZE ALINIAMBIA PENATI/ITAKAPOPIGWA/SENZO AUNGURUMA KAMA 'SIMBA'

-- Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com #Yangasc #Namungofc #Metachamnata



Highlights: Yanga ilivyonusurika kichapo na kuambulia sare ya 1-1 kwa Namungo - VPL 22/11/2020
Highlights: Yanga ilivyonusurika kichapo na kuambulia sare ya 1-1 kwa Namungo - VPL 22/11/2020

YANGA 1-1 NAMUNGO: Yanga SC imelazimishwa sare ya bao 1-1 na Namungo FC huku golikipa wake Metacha Mnata akiokoa penati ya dakika ya 90. Ni katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Wafungaji ni Carlos Carlinhos na Stephen Sey. Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://bit.ly/2wB6zmR Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz



Magoli  | Yanga 1-1 Namungo - VPL 22/11/2020
Magoli | Yanga 1-1 Namungo - VPL 22/11/2020

Yanga SC imelazimishwa sare ya bao 1-1 na Namungo FC huku golikipa wake Metacha Mnata akiokoa penati ya dakika ya 90. Ni katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Wafungaji ni Carlos Carlinhos na Stephen Sey. Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://bit.ly/2wB6zmR Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz



JEZI YA TUISILA KISINDA YAGEUKA KIVUTIO UWANJANI, AVAA JEZI YA TANZANIA YA STAILI YA PEKE YAKE...
JEZI YA TUISILA KISINDA YAGEUKA KIVUTIO UWANJANI, AVAA JEZI YA TANZANIA YA STAILI YA PEKE YAKE...

JEZI YA TUISILA KISINDA YAGEUKA KIVUTIO UWANJANI, AVAA JEZI YA TANZANIA YA STAILI YA PEKE YAKE... MCHEZAJI wa Yanga, Tuisila Kisinda, amejikuta akigeuka kivutio katika uwanja wa Mkapa jijini Dar, alipokwenda kucheki gemu ya Tanzania vs Tunisia... Tuisila amegeuka kivutio kutokana na jezi ya Tanzania aliyoivaa ambayo imeandikwa majina ya wachezaji wote wa Yanga walioitwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania akiwemo Kipa, Metacha Mnata, Fei Toto, Ditram Nchimbi, Farid Mussa na wengine.. ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx ⚫️ VISIT AMAZON: https://www.amazon.com/shop/globaltvonline ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506) ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2 ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline



Yanga 2-1 Lipuli, ONA YANGA Walivyoshuka Taifa vs Lipuli FC Ligi Kuu
Yanga 2-1 Lipuli, ONA YANGA Walivyoshuka Taifa vs Lipuli FC Ligi Kuu

Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars YANGA SC imeibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya timu ngumu kwao kihistoria, Lipuli FC ya Iringa katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Kwa ushindi huo, Yanga SC nayofundishwa na Mbelgiji Luc Aymael anayesaidiwa na mzawa, Charles Boniface Mkwasa, kocha wa Fiziki, Riedoh Berdien kutoka Afrika Kusini na kipa wa zamani wa klabu, Manyika Peter anayewanoa walinda milango wa timu hiyo – inafikisha pointi 34 baada ya kucheza mechi 17 na kupanda nafasi ya tatu. Sasa inazidiwa pointi nne na Azam FC na pointi 16 na vinara na mabingwa watetezi, Simba SC ambao hata hivyo kwa pamoja wamecheza mechi mbili mbili zaidi. Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Kikosi cha Yanga SC kilikuwa; Metacha Mnata, Juma Abdul, Jaffar Mohamed, Lamine Moro, Said Juma ‘Makapu’, Papy Kabamba Tshishimbi, Ditram Nchimbi/Deus Kaseke dk71, Haruna Niyonzima/Ally Mtoni dk81, Yikpe Gislain/David Moringa ‘Falcao’ dk61, Balama Mapinduzi na Bernard Morrison. Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Lipuli FC; Deogratius Munishi ‘Dida’, David Kameta, Paul Ngalema, Peter Mwangosi, David Mwasa, Novaty Lufunga, Said Mussa/Zubery Ada dk72, Freddy Tangalu, Paul Nonga, Daruweshi Saliboko na Keneth Masumbuko. Twitter: https://twitter.com/Kidanistars Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars



Caf Champions League | Township Rollers vs Yanga SC 0-1 | Goals & Highlights (24.08.2019)
Caf Champions League | Township Rollers vs Yanga SC 0-1 | Goals & Highlights (24.08.2019)

Caf Champions League | Township Rollers vs Yanga SC 0-1 | Goals & Highlights (24.08.2019). Caf Champions League: Yanga SC stun Township Rollers to progress. The Tanzanian giants have sailed to the next round of the competition after picking up a crucial away win on Saturday. Yanga SC have advanced to the next round of the Caf Champions League after defeating Township Rollers of Botswana 1-0 on Saturday. A 42nd-minute strike by Juma Balinya was all the East African team needed to down the hard-fighting Rollers in their own backyard and proceed to the next round on a 2-1 aggregate scoreline. Following a 1-1 draw in the first leg, the advantage was with the Botswana side as they needed a barren draw to advance. For Yanga, they had to score to revive any hopes of making it past the preliminary first round. Despite an entertaining first half, neither of the two sides could get a goal, but it was the visitors who were under pressure to get a goal. For the home team, composure and calmness were evident from their display. It all looked perfect for Rollers until the 42nd minute when they conceded a free-kick at the edge of the 18-yard area. Balinya took it and expertly directed the ball past the goalkeeper and into the net to give a few away fans a sigh of relief. Rollers had to get a leveller and force the game into extra time and maybe penalties or risk going out early. In the 57th minute, Motsholetsi almost made it 1-1 with his good run, but indecisiveness cost him at the end. The hosts got a perfect chance in the 63rd minute when they won a penalty. However, a tame Segolame Boy's effort was saved by Metacha Mhata. Moments later, the custodian once again made a fantastic save to deny Galabgwe Moyana from about 12-yards. Yanga will now play the aggregate winner between Zesco United of Zambia, who advanced to the next round after beating Green Mamba 3-0 on aggregate. CAF Champions League preliminary round second leg results Saturday: Raja Casablanca (MAR) 4 (Rahimi 15, Nanah 48, 76, Moutaouali 51) Brikama Utd (GAM) 0 Raja win 7-3 on aggregate Al Merrikh (SUD) 3 (Abdelgadir 44, 74, Ibrahim 56) JS Kabylie (ALG) 2 (Saadou 79, Addadi 84-pen) Aggregate: 3-3, Kabylie win on away goals Zamalek (EGY) 6 (Mohamed 25, 52, Shikabala 66, 73, Alaa 78-pen, Abdel-Aziz 85) Dekedaha (SOM) 0 Zamalek win 13-0 on aggregate Generation Foot (SEN) 3 (Gueye 16, Bayo 57, Diagne 83) LPRC Oilers (LBR) 0 Generation win 3-1 on aggregate Etoile Sahel (TUN) 7 (Ben Ouannes 38-pen, Aribi 47, 52, 55, 85, Belarbi 51-pen, 62) Hafia (GUI) 1 Etoile win 8-3 on aggregate Mamelodi Sundowns (RSA) 4 (Sirino 14, 34, Lebusa 24, Zwane 39) AS Otoho (CGO) 0 Sundowns win 5-2 on aggregate Zesco Utd (ZAM) 1 (Were 14) Green Mamba (SWZ) 0 Zesco win 3-0 on aggregate Township Rollers (BOT) 0 Young Africans (TAN) 1 (Balinya 40) Africans win 2-1 on aggregate Platinum (ZIM) 3 (Chafa 4-pen, Tigere 36, Chikwende 81) Nyasa Big Bullets (MAW) 2 (Banda 29, Phiri 79) Platinum win 3-2 on aggregate Primeiro Agosto (ANG) 2 (Mabululu (2)) KMKM (ZAN) 0 Primeiro win 4-0 on aggregate Orlando Pirates (RSA) 1 (Jele 60) Green Eagles (ZAM) 1 (Shamende 61) Eagles win 2-1 on aggregate




« Previous Next »


Popular Tags

#Michael Jordan  #Gareth Bale  #Boston Celtics  #Mesut Ozil  #Football Skills  #Stephen Curry  #Sergio Aguero  #Best Football Defending Skills  #Shot Goals  #Best Goalkeeper Saves  

Popular Users

#JLo  #CP3  #akshaykumar  #BizNasty2point0  #DanicaPatrick  #hunterpence  #incarceratedbob  #RSherman_25  #BellaTwins  #NASA  #BeingSalmanKhan  #UKCoachCalipari  #ddlovato  #THNRyanKennedy  #sydneyleroux