htmnews #simbasc #yanga #hajimanara #sports #yangatv #simbasctanzania #dejan #azamtv #subscribe kwa taarifa nyingi zaidi.
Leo Agosti 4 2022 Mpenja Tv Tumezungumza na Msemaji wa Simba Sports Club Ahmed Ally kuhusu kuachwa kwa Wachezaji wao watatu ambao ni Meddie Kagere, Chriss Mugalu na Taddeo Lwanga. . Ahmed Ally amefunguka mengi ndani ya Mahojiano haya. . Fungua video hii kupata uhondo wote wa Mahojiano haya. .
Leo Agosti 2 2022 Mpenja Tv tunakuletea mahojiano na familia ya Mchezaji wa Yanga Feisal Salum Abdallah maarufu kama Fei Toto. . Mama mzazi wa Feisal amezungumza mengi ndani ya Mahojiano haya. . Fungua video hii kupata uhondo wote wa habari hii. .
Share, Support, Subscribe!!! Subscribe: UC-4fDfmsXy9hIcEmPKbARIQ Youtube: https://www.youtube.com/c/HZBTV Twitter: http://www.twitter.com/harakatizabongo Facebook: http://www.facebook.com/harakatizabongo Instagram: http://instagram.com/harakatizabongo Google Plus: https://plus.google.com/+harakatizabongo
“Nasikia wanasema nilikuwa kwa mkopo Yanga, sio kwa mkopo nina mkataba” sehemu ya maneno ya nyota wa Yanga SC, Fiston Mayele ‘akifunguka’ mengi kumhusu yeye huku akiondoa utata wa madai tofauti. Mayele amefanya mahojiano maalumu na Hasheem Ibwe ndani ya Avic Town
Stephen Aziz KI ametambulishwa Rasmi Kuwa Nyota Wa Yanga SC Ikijiunga na Miamba Hiyo ya Soka Nchini Tanzania Akitokea ASEC Mimosas Ya Ivory Coast Tumezungumza na Gharibu Mzinga Mtangazaji na Mchambuzi wa Soka la Bara La Afrika Kutoka Azam TV Ilikufahamu Yanga Wamepata Mchezaji wa Aina Gani Fungua Video Hi Kufahamu Mengi Kuhusu Nyota Huyu Alishika Sana Katika Mitandao ya Kijamii
PART 2: HATMA YA MORRISON SIMBA, KOCHA MPYA ANAYEKUJA, CEO BARBARA AFUNGUKA KWA MARA YA KWANZA.. HII ni sehemu ya pili ya mahojiano maalum ya Global TV na CEO wa Simba, Barbara Gonzalenz, kuhusiana na masuala mbalimbali ya klabu ya Simba, ikiwemo Usajili watakaoufanya, ujenzi wa uwanja wao, kukosa ubingwa msimu huu na mengine mengi. ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: https://www.youtube.com/playlist?list=PL22mc2rU91vDNQjLA5ikELAOcJp5XrakD ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982) ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: https://www.youtube.com/playlist?list=PL22mc2rU91vD-h-a328gR3qltQXYWVQiO ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline
Mpenja Tv tumefanya mahojiano na Baraka Adson Mpenja, Managing Director wa Mpenja Tv na Senior Commentator Azam Media amefunguka mambo mengi ikiwemo mchezo kati Yanga Sc Dhidi ya Coastal Union Mchezo ambao umewapa Yanga Ubingwa wa Ligi Kuu ya NBC 2021/2022. Fungua Video hii kupata Habari Kamili.... #BarakaMpenja #YangaSc #CoastalUnion #YangaScVsCoastalUnion #MpenjaTv