Content removal request!


Tazama Azam walivyoipasua Mbao FC kwa mabao 2-0 Chamazi - Highlights 14/06/2020

Azam FC wameichapa Mbao mabao 2-0 katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliopigwa kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi. Mabao ya Azam yamefungwa na Richard Djodi pamoja na Shaban Idd, Chilunda. Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://bit.ly/2wB6zmR Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz