Pata habari na uchambuzi mbalimbali wa kimichezo, ligi kuu ya soka Tanzania bara, mashindano ya Azam, klabu bingwa barani Afrika, Simba timu pekee ukanda wa CECAFA inawakilisha wakati Yanga wakiwakilisha kwenye michuano ya Shirikisho Afrika. #cafconfiderationcup #sports #football #live #simbasc #nbcpremierleague #africasuperleague #jehova #jesus #christmas #jerusalem #prophetess #bbc #bbcnews #israel #fifaworldcup #fifa #cafchampionsleague #basketball #marathon #online #tbc
Pata habari na uchambuzi mbalimbali wa kimichezo, ligi kuu ya soka Tanzania bara, mashindano ya Azam, klabu bingwa barani Afrika, Simba timu pekee ukanda wa CECAFA inawakilisha wakati Yanga wakiwakilisha kwenye michuano ya Shirikisho Afrika. #cafconfiderationcup #sports #football #live #simbasc #nbcpremierleague #africasuperleague #jehova #jesus #christmas #jerusalem #prophetess #bbc #bbcnews #israel #fifaworldcup #fifa #cafchampionsleague #basketball #marathon #online #tbc
Mchambuzi wa Soka, Gharib Mzinga ametoa mtazamo wake kuhusu mechi ya marudiano hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika ambapo Mamelodi Sundowns itacheza nyumbani dhidi ya Yanga Aprili 05, 2024 nchini Afrika Kusini. Gharib amesema Yanga inabidi iwe makini zaidi na eneo la kiungo la wapinzani wao kwa sababu linaonekana kuwa ni hatari zaidi wanapotafuta bao. Pia amegusia rekodi ya Mamelodi Sundowns katika mechi tano za mwisho kwenye mashindano hayo wakiwa nyumbani kwao. Je, unakubaliana na mtazamo wa Gharib Mzinga✍️? #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj
#QiblateinOnline Follow Us On: INSTAGRAM: https://www.instagram.com/qiblatein_onlinetv/ FACEBOOK; https://www.facebook.com/profile.php?id=100088547380966 YOUTUBE; https://www.youtube.com/channel/UCU9pzPTs9n65o0lhkx6QizQ
Mtangazaji kinara wa soka nchini, Baraka Mpenja, amefanya mazungumzo na Mtangazaji wa soka wa Azam Media LTD, Gharib Mohamed Ally Mzinga kuhusu Maisha yake ya nyuma lakini pia ikumbukwe leo ni kumbukizi ya kuzaliwa ya Mtangazaji machachari wa Soka Ghalibu Mzinga. Lakini pia Ghalibu mzinga ametoa mtazamo wake katika mechi ya ligi ya mabingwa Afrika kati ya Simba na Yanga kuwa zinaweza kufika hatua ya fainali katika mashindano hayo.
Mchambuzi wa soka Geof Lea aweka bayana maandalizi ya timu zinazowakilisha kimataifa kwenye mashindano ya klabu bingwa afrika Simba na Yanga kuwa na nafasi ndogo sana kufuzu nusu fainali huku akiamini kuwa mamelodi na al ahly wapo vizuri #singidafountaingate #yangatv #wcb #yangasc #diamond #simbatv #simbatv #kingmusicofficial #simbasc #live #yangasc #wcb #yangatv #singidafountaingate #kondegang #kondegang #singidafountaingate #wcb #diamond #live #diamond #simbatv #simbasc #yangasc #yangatv #singidafountaingate #kondegang #yangatv #yangasc #simbatv #simbasc #simbasc #live #diamond #yangasc #wcb #yangatv #singidafountaingate #kondegang
Live:TANZANIA ( 0 ) vs DR CONGO ( 0 ) - HATUA YA MAKUNDI MASHINDANO AFCON 2023/2024.... KARIBU KUSIKILIZA NA ...
Live: TANZANIA vs DR CONGO - MASHINDANO ya AFCON - JE TAIFA STARS KITAELEWEKA KWELI LEO??...| UCHAMBUZI.