Content removal request!


KOCHA WA ZAMANI MAMELOD APEWA MKATABA YANGA SC

Kocha Manqoba Mngiqithi (55) Raia wa AFRIKA Kusini ametangazwa rasmi kuwa Kocha Mkuu wa Yanga SC akitokea Klabu ya Gorden Arrows ya Afrika Kusini. Mngiqithi ana uzoefu mkubwa wa mashindano ya CAF na Ligi za kiafrika kutokana kufanya kazi na Klabu ya Mamelod Sundowns kwa muda mrefu toka 2013 Hadi 2024 akiwa anashika nafasi mbalimbali.