Leo April 07, 2023 Klabu ya Azam Fc inashuka Dimbani majira ya saa 21:00 Usiku kuminyana na Mtibwa Sugar kutoka Morogoro ...
Leo April 07, 2023 Klabu ya Azam Fc inashuka Dimbani majira ya saa 21:00 Usiku kuminyana na Mtibwa Sugar kutoka Morogoro ...
Leo tarehe 07/04/2023 ni Siku kubwa kwa Wana Michezo Tanzania hususani upande wa Soka ambapo kunapigwa Mchezo wa hatua ya Robo Fainali Kombe la Azam Sports Federation Simba dhidi ya Ihefu, Mshindi anakwenda Nusu Fainali kukutana na Azam FC. Mchezo huu unapigwa majira ya saa moja kamili za Usiku kwenye Dimba la Azam Complex. Mpenja Tv tumefika mapema kukuhabarisha kabla na baada ya Mchezo.
Leo hii kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa Majira ya Saa 2:00 Usiku itachezwa Mechi ya Kusaka Tiketi ya Kufuzu Michuano ya ...
Leo hii kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa Majira ya Saa 2:00 Usiku itachezwa Mechi ya Kusaka Tiketi ya Kufuzu Michuano ya ...
Moto Utawaka Uwanja wa Benjamin Mkapa ni Mchezo Mkubwa wa Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Simba Sc dhidi ya Horoya AC Majira ya Saa 1:00 Jioni. Mpenja Tv tunahakikisha tunakuletea Mfululizo wa Matukio yote yanayohusu Mechi hiyo Kabla na Baada ya Mechi.
Kivumbi cha Ligi Kuu ya NBC kinaendelea na Hapo kesho kwenye Uwanja wa Chamazi Complex Majira ya Saa 1:00 Jioni Azam ...
Kivumbi cha Ligi Kuu ya NBC kinaendelea Leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa Majira ya Saa 10:00 Jioni ni kati ya KMC Fc na Yanga Sc. Na haya ni Matukio yote yanayohusu Mechi hiyo.