AHMED ALLY: "NITALIA SANA GOLI 7 NI NYINGI/MECHI YETU NA RAJA TUNAOMBA CAF WAIFUTE/REKODI AFRIKA by @Mpenja TV - Post Details

AHMED ALLY: "NITALIA SANA GOLI 7 NI NYINGI/MECHI YETU NA RAJA TUNAOMBA CAF WAIFUTE/REKODI AFRIKA

Moto Utawaka Uwanja wa Benjamin Mkapa ni Mchezo Mkubwa wa Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Simba Sc dhidi ya Horoya AC Majira ya Saa 1:00 Jioni. Mpenja Tv tunahakikisha tunakuletea Mfululizo wa Matukio yote yanayohusu Mechi hiyo Kabla na Baada ya Mechi.

Similar Posts!