Wagosi wa Kaya Coastal Union wakiwa na Alikiba aliyecheza kwa dakika 64, wamebanwa nyumbani na kulazimishwa sare ya bao 1-1 na Mbeya City katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa kwenye Dimba la Mkwakwani Jijini Tanga. Coastal ndiyo waliotangulia kupata bao dakika ya 5 kupitia kwa Ayoub Lyanga aliyemalizia kwa kichwa kona iliyopigwa na Athuman Idd ‘Chuji’ ikitokana na jaribio la Alikiba. Mbeya City walipata bao la kusawazisha dakika ya 50 baada ya beki wa Coastal Union Bakari Mwamnyeto kujifunga akiwa katika jaribio la kuokoa.
Wagosi wa Kaya Coastal Union wakiwa na Alikiba aliyecheza kwa dakika 64, wamebanwa nyumbani na kulazimishwa sare ya bao 1-1 na Mbeya City katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa kwenye Dimba la Mkwakwani Jijini Tanga. Coastal ndiyo waliotangulia kupata bao dakika ya 5 kupitia kwa Ayoub Lyanga aliyemalizia kwa kichwa kona iliyopigwa na Athuman Idd ‘Chuji’ ikitokana na jaribio la Alikiba. Mbeya City walipata bao la kusawazisha dakika ya 50 baada ya beki wa Coastal Union Bakari Mwamnyeto kujifunga akiwa katika jaribio la kuokoa. Haya hapa mabao.
Shabab Al Sahel 3-2 Tadamon Sour [Bakari Coulibaly 6, Hussein Haidar 41, Abbas Atwi (p) 90 | Ali Baher 46+1, Jad Al Zein 90+3] #LebaneseFootballLeague
ALLE VIDEOS IMMER 48 STD. VOR YOUTUBE SEHEN ❗ ➡ http://www.elbkick.tv ⬅ ❗ JETZT KANAL ABONNIEREN ❗ ➡ http://bit.ly/2ll6zgs ⬅ ❗ Torfestival bei UH-Adlers U18 6. Spieltag (21.10.18) Endergebnis: 5:3 (4:2) Tore: 1:0 Alexander Kubicki 2:0 Rabun Kilic 3:0 Kerem-Ali Caliskan 3:1 Can Nadir Celikel 4:1 Rabun Cilic 4:2 Abdul-Mumin Ziba 4:3 Abdul-Mumin Ziba 5:3 Alexander Kubicki Aufstellung UH-Adler U18: 1 Felix Maurice Bornkamm, 7 Rabun Kilic, 8 Ali Ataye, 10 Len Yul Buchwald, 15 Tunahan Karaahmet, 17 Robel Haileslase, 18 Sened Nana Seukwa, 20 Tyron Amevor Ketzler, 23 Alexander Kubicki, 32 Dylan Volkmann, 99 Kerem-Ali Caliskan Ersatzspieler: 4 Jose Leonadro Galle De, 5 Erdem Sakarya, 9 Mikael Marcel Sommer, 14 Robby Fischer, 24 Lennart Franz Rudloff, 26 Kristman Dabo Kobia, 37 Deniz Mikail Yilmaz Trainer: Luis Cesar Sboron Aufstellung SC Condor U18: 1 Robert Herzog, 2 Bakari Turay, 4 Zafiholla Shah, 9 Can Nadir Celikel, 10 Raymond Kastrati, 11 Abdul-Mumin Ziba, 13 Dylan Manu Gyamenah, 14 Amsa Sherzada, 16 Arya Mirzaei, 18 Saidou Diallo, 27 Andre Kevin da Silva Goncalv Ersatzspieler: 3 Hakan Bozal, 8 Lukas Rantz, 12 Festus Junior Buerteye Aniteye, 21 Ahmed Kamal, 17 Stephan Lasisi Trainer: Dennis Rommel ⚽ #WODASLEBENFUSSBALLSPIELT 📺 Homepage: http://www.elbkick.tv 👍 Facebook: https://www.facebook.com/ELBKICK.TV 🎥 YouTube: https://www.youtube.com/ELBKICK 🐦 Twitter: https://twitter.com/elbkicktv 📷 Instagram: http://instagram.com/elbkick.tv/ 💻 Bearbeitet mit: VEGAS Pro 365 // bit.ly/2JjnsTw 💛 Gelb, gut, günstig! -10% Rabatt auf ALLE Mietungen und Buchungen bei unserem Partner STARCAR - Autovermietung // CODE: KickTV // http://bit.ly/2tHakEm 💛
Timu ya Biashara United ya Mara Jumamosi hii (Septemba 22, 2018) ilitoshana nguvu kwa kutoka suluhu dhidi ya JKT Tanzania kutoka Dar es Salaam. Mchezo huo wa Ligi Kuu Tanzania Bara ulipigwa kwenye dimba la Karume mjini Musoma, ambapo baada ya mchezo kocha wa Biashara United Hitimana Thiery ameonsha kutofurahia matokeo huku Bakari Shime kocha wa JKT akirishwa na matokeo hayo, na kusema yanamfanya ajiandae vyema na mchezo wake unaofuata dhidi ya Yanga. Nao Mashabiki wa Biashara United waliokuwepo dimbani hapo wakatoa maoni yao, wengi wakionesha kutorishwa na matokeo ya suluhu inayopata Biashara United katika mechi zake za nyumbani.
100PLUS Liga Premier Malaysia 2018 | UiTM FC VS UKM FC Keputusan masa penuh, UiTM FC 2 - 0 UKM FC. Gol pertama UiTM FC dijaringkan oleh Bakary Dao menerusi tendangan penalti pada minit ke-37 dan gol kedua hasil jaringan Lucas Pugh pada minit-minit akhir perlawanan. Terus Soaring Upwards UiTM FC! #TheLions #uitmfc #whenthelionsroar #soaringupwards #uitmdihatiku #100plusligapremiermalaysia2018
100 Plus Liga Premier 10 April 2018 Tamat Perlawanan Sabah 3-1 UITM FC Min 14 Maxius Musa Min 36 Dao Bakary Min 43 Sabri Sahar Min 71 Heo #ligapremier2018 #sabahfa #uitmfc #sabahVSuitm #100plusLPM #kkcity