#usajilisimba #ame 🔥🔥🔥Beki kisiki, mwamba mkata umeme, Ibrahim Ame, amesaini mkataba wa miaka miwili kuwachezea Machampion wa soka la Tanzania, Simba SC🦁, akitokea Coastal Union ya Tanga.... . Katika safu ya ulinzi ya Wagosi wa Kaya, Ame, alikuwa pacha wa Bakari Nondo Mwamnyeto aliyesajiliwa na Yanga SC... . 🚶♂️🚶♂️Nani kalamba dume kati ya Simba na Yanga?
SIMBA inafanya mambo yake kimya kimya na juzi ikaonyesha ubabe kwa watani wao wa jadi, Yanga baada ya kufanikiwa kuidaka saini ya beki wa kati, Ibrahim Ame aliyekuwa anaichezea Coastal Union msimu uliopita. Ame, ambaye alikuwa pacha wa Bakari Mwamnyeto na kuwatuliza mastraika tishio, amesaini mkataba wa miaka miwili juzi Jumanne. Usajili huo sio kikumbo tu kwa Yanga bali hata Polisi Tanzania na Coastal Union ambao, inaelezwa kwamba wao ndio walikuwa wametuma tiketi ya boti kwa mchezaji huyo kutoka Zanzibar. Picha lenyewe lilikuwa hivi: Unaambiwa vurumai iliyotokea Bandarini, Dar es Salaam haikuwa ya kawaida kwani makomando wa timu zote tatu walitinga eneo hilo na kila upande ukimsubiri beki huyo ili kwenda kumalizana naye na kumsainisha. Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars HABARI MPYA DAILY:https://bit.ly/3c3bEDc HABARI ZA MICHEZO: https://bit.ly/2TAgnWx HABARIZA WASANII: https://bit.ly/2X2f84R HABARI ZA SIASA: https://bit.ly/36r0xCW Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/Kidanistars Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars
MSHAMBULIAJI namba moja wa Klabu ya Mbao FC, Waziri Junior leo Agosti 2, ametambulishwa rasmi kuwa mali ya Yanga. Junior amesaini dili la miaka miwili akiwa ni mchezaji huru baada ya mkataba wake wa mwaka mmoja kukamilika ndani ya Mbao FC. Ndani ya Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2019/20 alijenga ushkaji na nyavu akifunga jumla ya mabao 12 akiwa ni namba moja ndani ya kikosi hicho. Mchezo wa mwisho kuvaa jezi ya Mbao FC ilikuwa jana, Agosti Mosi, mbele ya Ihefu kwenye mchezo wa playoff uliochezwa Uwanja wa Kirumba ambapo alifunga mabao mawili. Timu yake ya Mbao aliyokuwa anaitumikia awali akiwa ni nahodha imeshushwa jumla itashiriki Ligi Daraja la Kwanza kwa faida ya mabao ya ugenini ambayo Ihefu wameipata. Mchezo wa kwanza Ihefu ilishinda mabao 2-0 Mbeya na jana ilifungwa mabao 4-2 na kushinda kwa faida ya mabao ya ugenini. Huu unakuwa ni usajili wa nne kwa Yanga msimu huu ilianza na Zawad Mauya kutoka Kagera Sugar ikafuata kwa Bakari Mwamnyeto kutoka Coastal Union na Yassini Mustapha wa Polisi Tanzania. Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars HABARI MPYA DAILY:https://bit.ly/3c3bEDc HABARI ZA MICHEZO: https://bit.ly/2TAgnWx HABARIZA WASANII: https://bit.ly/2X2f84R HABARI ZA SIASA: https://bit.ly/36r0xCW Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/Kidanistars Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars
MASHABIKI SIMBA "TULIJUA Yatatokea Matokeo Haya /TUNA Imani na Simba" MCHEZO wa Ligi Kuu Bara kati ya Coastal Union na Simba uliochezwa leo, Julai 23 Uwanja wa Mkwakwani, Tanga umekamilika kwa timu zote kutoshana nguvu bila kufungana ndani ya dakika 90. Coastal Union inayonolewa na Juma Mgunda ililiandama lango la Simba kipindi cha pili kwa kumtumia mtupiaji wao namba moja Ayoub Lyanga mwenye mabao nane ndani ya ligi ila mikono ya Beno Kakolanya iliokoa hatari zake. Simba inayonolewa na Sven Vandenbroeck ilikuwa ikifanya mashambulizi kwa kumtumia Meddie Kagere na John Bocco mambo yalikuwa magumu kwao. Bocco alitolewa kipindi cha pili nafasi yake ikachukuliwa na Clatous Chama na Miraj Athuman alitolewa ia nafasi yake ikachukuliwa na Deo Kanda ila ngome ya Coastal Union chini ya Bakari Nondo ilibaki kuwa imara. Pascal Wawa alionyeshwa kadi nyekundu kwenye mchezo wa leo baada ya kuonyeshwa kadi mbili za njano hivyo Simba ilimaliza dakika tisini ikiwa na wachezaji 10 baada ya beki huyo wa kigeni kutolewa dakika ya 75. Atakuwa akiwashuhudia wenzake kwenye mchezo unaofuata dhidi ya Polisi Tanzania, Ushirika, Moshi. Ushindi huo unaifanya Simba kufikisha pointi 85 baada ya kucheza mechi 37, Coastal Union inafikisha jumla ya pointi 53 zote zinauhakika wa kubaki ndani ya ligi. ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx ⚫️ VISIT AMAZON: https://www.amazon.com/shop/globaltvonline ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506) ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2 ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline
Prénom: Bakary Nom: GOUDIABY Club actuel: Stade de Mbour