USAJILI: YANGA Yamsajili MSHAMBULIAJI wa MBAO FC, WAZIRI JUNIOR by @KidaniStars - Post Details

USAJILI: YANGA Yamsajili MSHAMBULIAJI wa MBAO FC, WAZIRI JUNIOR

MSHAMBULIAJI namba moja wa Klabu ya Mbao FC, Waziri Junior leo Agosti 2, ametambulishwa rasmi kuwa mali ya Yanga. Junior amesaini dili la miaka miwili akiwa ni mchezaji huru baada ya mkataba wake wa mwaka mmoja kukamilika ndani ya Mbao FC. Ndani ya Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2019/20 alijenga ushkaji na nyavu akifunga jumla ya mabao 12 akiwa ni namba moja ndani ya kikosi hicho. Mchezo wa mwisho kuvaa jezi ya Mbao FC ilikuwa jana, Agosti Mosi, mbele ya Ihefu kwenye mchezo wa playoff uliochezwa Uwanja wa Kirumba ambapo alifunga mabao mawili. Timu yake ya Mbao aliyokuwa anaitumikia awali akiwa ni nahodha imeshushwa jumla itashiriki Ligi Daraja la Kwanza kwa faida ya mabao ya ugenini ambayo Ihefu wameipata. Mchezo wa kwanza Ihefu ilishinda mabao 2-0 Mbeya na jana ilifungwa mabao 4-2 na kushinda kwa faida ya mabao ya ugenini. Huu unakuwa ni usajili wa nne kwa Yanga msimu huu ilianza na Zawad Mauya kutoka Kagera Sugar ikafuata kwa Bakari Mwamnyeto kutoka Coastal Union na Yassini Mustapha wa Polisi Tanzania. Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars HABARI MPYA DAILY:https://bit.ly/3c3bEDc HABARI ZA MICHEZO: https://bit.ly/2TAgnWx HABARIZA WASANII: https://bit.ly/2X2f84R HABARI ZA SIASA: https://bit.ly/36r0xCW Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/Kidanistars Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars

Similar Posts!

UTASHANGAA!! ZOU WA YANGA AIBUA MAPYA KWA WACHEZAJI!
UTASHANGAA!! ZOU WA YANGA AIBUA MAPYA KWA WACHEZAJI!

Telegram: https://t.me/KidanistarsTV Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Je,wewe unatumia Telegram? Kama ni ndio karibu kwenye Channel yetu ya Kidanistars Telegram. BONYEZA Link hii https://t.me/KidanistarsTV



ALICHOKISEMA SKUDU WA YANGA BAADA YA KUWAFUNGA KAIZER CHIEF
ALICHOKISEMA SKUDU WA YANGA BAADA YA KUWAFUNGA KAIZER CHIEF

Telegram: https://t.me/KidanistarsTV Mchezo wa kilele cha Wiki ya Mwananchi kati ya wenyeji Young Africans SC dhidi ya vigogo ...



SIKIA TAMBO ZA RAGE WA SIMBA HOROYA KUPIGWA BAO 7, TUMETINGA ROBO FAINALI
SIKIA TAMBO ZA RAGE WA SIMBA HOROYA KUPIGWA BAO 7, TUMETINGA ROBO FAINALI

Telegram: https://t.me/KidanistarsTV Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: ...



MAZEMBE WAIGOMEA YANGA KUPANDA BASI PRIVADINHO AWAKA TUTAWAONYESHA UWANJANI
MAZEMBE WAIGOMEA YANGA KUPANDA BASI PRIVADINHO AWAKA TUTAWAONYESHA UWANJANI

Telegram: https://t.me/KidanistarsTV Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Je,wewe unatumia Telegram? Kama ni ndio karibu kwenye Channel yetu ya Kidanistars Telegram. BONYEZA Link hii https://t.me/KidanistarsTV



RAJA CASABLANCA WATUA DAR KIBABE MECHI YA KIBABE DHIDI SIMBA
RAJA CASABLANCA WATUA DAR KIBABE MECHI YA KIBABE DHIDI SIMBA

Telegram: https://t.me/KidanistarsTV Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: ...



MANGUNGU KWA MARA YA KWANZA " HII NDIO SIMBA TUTABEBA UBINGWA"
MANGUNGU KWA MARA YA KWANZA " HII NDIO SIMBA TUTABEBA UBINGWA"

Telegram: https://t.me/KidanistarsTV TIMU ya Simba SC imeibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Singida Big Stars katika ...



SIKIA MAPOVU YA AHMED ALLY ATAMBA NA GOLI LA SAKHO "NDIO BORA MSIMU HUU"
SIKIA MAPOVU YA AHMED ALLY ATAMBA NA GOLI LA SAKHO "NDIO BORA MSIMU HUU"

Telegram: https://t.me/KidanistarsTV TIMU ya Simba SC imeibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Singida Big Stars katika ...