Wadi Degla 0-2 Simba SC | Kocha Fadlu ataka Jayruty wafanye unyama, Kibu D afunguka
Wadi Degla 0-2 Simba SC | Kocha Fadlu ataka Jayruty wafanye unyama, Kibu D afunguka

KUTOKA CAIRO MISRI: " ....msimu huu tunahitaji kuwapiku Yanga" Baada ya ushindi wa 2-0 dhidi ya Wadi Degla FC inayoshiriki ligi kuu ya nchini humo, Kocha wa Simba, Fadlu davids anaeleza baadhi ya mambo ambayo ameridhika nayo, na maeneo ambayo bado ana kazi ya kufanya.... Kuhusu kikosi chake, Kocha Fadlu anasema bado wanahitaji angalau mchezaji mmoja mwenye kitu cha ziada (X-Factor) atakayewaongezea kitu hasa kwenye michuano ya kimataifa pamoja na mbio za ubingwa wa #NBCPremierLeague msimu ujao wakilenga kuwa juu ya Yanga ... Fadlu anasema anaamini mdhamini wao upande wa jezi, 'Jayruty', atalimaliza hilo.... Naye mfungaji wa moja kati ya magoli mawili ya Simba, Kibu Denis anazungumza machache kuhusu maendeleo ya kambi nchini Misri.... Patrick Nyembera anakuja na taarifa kamli kuhusu mchezo huo... #SimbaSC #SimbaEgypt #SimbaPreSeason



ALI KAMWE AFUNGUKA SAKATA LA MZIZE NA YANGA/ HATUJAMZUIA MCHEZAJI KWENDA KUCHEZA NJE
ALI KAMWE AFUNGUKA SAKATA LA MZIZE NA YANGA/ HATUJAMZUIA MCHEZAJI KWENDA KUCHEZA NJE

Hii ni CROWN MEDIA, 92.1 CROWN FM & CROWN TV Follow us on Social Media Platforms Instagram: Crown FM - https://www.instagram.com/crownfmtz/ Crown TV - https://www.instagram.com/crowntvtz/ Twitter (X): CROWN MEDIA SWAHILI: https://twitter.com/CrownMediaTZ CROWN MEDIA ENGLISH: https://twitter.com/CrownMediaEN Facebook: CROWN MEDIA: https://www.facebook.com/profile.php?id=61556920898213&sk=followers TIKTOK: - https://www.tiktok.com/@crownmedialive?lang=en SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: https://www.youtube.com/channel/UCWHlCJN-WTamGWp4E6ZrhsA



AHMED ALLY AFUNGUKA MAZITO KUHUSU USAJILI MPYA AWAPONGEZA WANA SIMBA WA MKOA WA SONGWE.
AHMED ALLY AFUNGUKA MAZITO KUHUSU USAJILI MPYA AWAPONGEZA WANA SIMBA WA MKOA WA SONGWE.

AHSANTE KWA KUTAZAMA KAYUNI TV, TAFADHALI SHARE VIDEO HII KWA RAFIKI ZAKO. TUFUATILIE KATIKA MITANDAO YOTE YA KIJAMII KWA JINA LA @KayuniTV INSTAGRAM https://www.instagram.com/kayuni_online_tv?igsh=MW1vN2V5bmpyYXV6Zw== X https://x.com/KayuniTv?t=G3epqd0VEBQgf2U603pp2w&s=09 FACEBOOK https://www.facebook.com/share/12G9Zjr9Cxs/ TICKTOK https://www.tiktok.com/@kayunitanzania?_t=ZM-8vk8llPnIqz&_r=1



NIYONZIMA AFUNGUKA BAADA YA KUFANYA MAZOEZI NA YANGA.
NIYONZIMA AFUNGUKA BAADA YA KUFANYA MAZOEZI NA YANGA.

USISAHAU KU-SUBSCRIBE YOUTUBE CHANNEL YETU KWA KUBONYEZA ALAMA YA KENGELE ILI UWE WA KWANZA KUPATA HABARI ZOTE AMBAZO TUTAKUWA TUKIKUSOGEZEA KARIBU. INSTAGRAM @pmtvtz TIKTOK @officialpmtv TOVUTI: www.pmtv.co.tz




« Previous Next »


Popular Tags

#Best Football Defending Skills  #Stephen Curry  #Lionel Messi  #Goal Celebrations  #Best Champions League  #Chris Paul  #Shot Goals  #Sergio Aguero  #Gareth Bale  #New York Knicks  

Popular Users

#neymarjr  #SrBachchan  #obj  #josecanseco  #Drake  #ochocinco  #sportspickle  #RSherman_25  #si_vault  #b_ryan9  #BBCBreaking  #KylieJenner  #GNev2  #MileyCyrus  #jtimberlake