Magori: Mauzo ya Ahoua, Kibu na Mukwala yalizaa kina Gueye na Oura
Magori: Mauzo ya Ahoua, Kibu na Mukwala yalizaa kina Gueye na Oura

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, Crescentius Magori amesema uamuzi wa kuwauza nyota wao watatu ndiyo siri ya kuwasajili nyota wanane walioboresha kikosi hicho katika dirisha dogo na kupata timu ya ushindani. Akizungumza na Mwananchi Digital alipofanya ziara yake Kampuni ya Mwananchi, Tabata amesema hatua ya kutengeneza kikosi cha ushindani kinachoendelea kufanya vizuri haikuwa rahisi kutokana na kukosekana kwa bajeti ya kutosha. Magori alisema Simba ilisajili wachezaji wanane katika dirisha dogo la Januari ambao ni kipa Djibril Kassali, mabeki Nickson Kibabage, Ismaila Toure, viungo Libasse Gueye, Anicet Oura, Inno Loemba, Clatous Chama na mshambuliaji Baraka Mwangosi hiyo ilitokana na fedha walizopata baada ya mauzo ya wachezaji wake watatu. Januari wakati wa dirisha dogo Simba iliwauza, kiungo Jean Charles Ahoua aliyenunuliwa na CR Belouizdad ya Algeria, mshambuliaji Steven Mukwala na kiungo mshambuliaji Kibu Denis aliyeuza Al Nasri ya Libya.



MANARA, EDO WAFICHUA FUKUTO ZITO SIMBA, SOWAH AWAKOROGA VIONGOZI, KUPEWA THANK YOU
MANARA, EDO WAFICHUA FUKUTO ZITO SIMBA, SOWAH AWAKOROGA VIONGOZI, KUPEWA THANK YOU

Pata habari motomoto za muziki, burudani, utamaduni, siasa, matukio, habari za kina, na michezo kupitia Wasafi Media. Hii Ni Yetu Sote. https://wasafimedia.co.tz/ π‘ͺπ’π’‘π’šπ’“π’Šπ’ˆπ’‰π’• Β©2025 π‘Ύπ’‚π’”π’‚π’‡π’Š π‘΄π’†π’…π’Šπ’‚. 𝑨𝒍𝒍 π’“π’Šπ’ˆπ’‰π’•π’” 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅. #wasafi #wasafitv #wasafifm




« Previous Next »


Popular Tags

#Kobe Bryant  #James Harden  #Best Goals Ever  #New York Knicks  #Gareth Bale  #Goalkeeper Saves  #Russell Westbrook  #Chris Paul  #Michael Jordan  #Neymar  

Popular Users

#DanicaPatrick  #DeionSanders  #fauxpelini  #dougferguson405  #darrenrovell  #rolopez42  #ddlovato  #shakira  #PMOIndia  #mcuban  #J_No24  #WWE  #realDonaldTrump  #nfl  #Kaepernick7