Baada ya mchezo wa muongo WA kwanza WA fainali ya kombe la Shirikisho baadhi ya wadau na mashabiki WA Young Africans ...
Mchambuzi wa Soka kutoka Azam Media LTD ,Gharib Mzinga amewachambua kiundani wapinzani wa Yanga SC, USM Alger ambao watacheza nao Mchezo wa Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika,Jumapili hii Mei 28 2023,Katika Dimba la Benjamin Mkapa.
#ikulumawasiliano #ikuluzanzibar #ccm #samiasuluhuhassan #habarimaelezo #ktnnews #wizarayahabari #wizarayakilimo #wizarayaafya #wizarayaulinzi Na Frank Buliro KLABU ya Yanga imeendelea kupeperusha Bendera yake Mara baada ya kuifunga Singida Big Stars bao 1-0 katika uwanja wa Liti, Singida. Hivyo Klabu hiyo inaingia Fainali ya kombe la Shirikisho la Azam (ASFC). Follow us on: FACEBOOK; SpotiLeo: https://www.facebook.com/Spotileo-176... HabariLeo: https://www.facebook.com/habarileo/ DailyNews: https://www.facebook.com/dailynewstz/ INSTAGRAM; HabariLeo: https://instagram.com/habarileo_tz?ig... SpotiLeo: https://instagram.com/spotileo?igshid... TWITTER; Twitter HabariLeo: https://twitter.com/HabariLeo?s=09
Shabiki wa simba akubali yanga ni bora baada ya kutinga fainali kombe la shirikisho.