Simba SC imepata ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Singida Big Stars katika mchezo mkali uliopigwa kwenye Dimba la Benjamin Mkapa. Magoli ya Simba yamefungwa Jean Baleke dakika ya 8, Saidi Ntibazonkiza dakika ya 21 na Pape Sakho dakika ya 63 huku goli pekee la Singida likitoka kwa Bruno Gomes aliyefunga kwa free kick dakika ya 35.
Leo ndio Leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa ni Vita ya Alama kati ya Simba Sc dhidi ya Singida Big Stars Majira ya Saa ...
Leo ndio Leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa ni Vita ya Alama kati ya Simba Sc dhidi ya Singida Big Stars Majira ya Saa ...
Leo ndio Leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa ni Vita ya Alama kati ya Simba Sc dhidi ya Singida Big Stars Majira ya Saa ...
Leo ndio Leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa ni Vita ya Alama kati ya Simba Sc dhidi ya Singida Big Stars Majira ya Saa ...