Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo wa mchezo wa Mapinduzi Cup 2024 kati ya JKU SC dhidi ya Simba SC. Simba imeshinda magoli 3-1 Wafungaji ni Moses Phiri, Mohamed Hassan wa JKU akajifunga na Saleh Karabaka akaweka chuma ya tatu kwa Simba. Goli la JKU likawekwa nyavuni na Neva Kaboma.
Tazama magoli yote matatu yaliyowekwa nyavuni kwenye mchezo wa kirafiki kati ya Fountain Gate Princess dhidi ya Bunda ...
Goli la matumaini kwa Dodoma Jiji kama lilivyotiwa nyavuni na Collins Opare; Hili ni goli la tisa kwake kwenye ligi kuu msimu ...
Leo Mei 17 2023, Marumo Gallants wanamkaribisha Yanga SC kwenye Dimba la Royal Bafokeng Afrika Kusini kupepetana,ikiwa ...
Reliants Lusajo amerea nyavuni baada ya kutofunga muda mrefu, leo akifunga goli la kwanza dakika ya 21 na kuisaidia ...
Reliants Lusajo amerea nyavuni baada ya kutofunga muda mrefu, leo akifunga goli la kwanza dakika ya 21 na kuisaidia ...
REAL BAMAKO vs YANGA: Shangwe la mashabiki wa Yanga SC baada ya goli la kutangulia lililopachikwa nyavuni na Fiston ...
Tazama goli la Yanga SC dhidi ya Ruvu Shooting likiwekwa nyavuni na Mpoki Mwakinyuke ambaye amejifunga. Mpaka kipyenga ...