DATA: 17 a 20/10/ 2024 LOCAL: SPORT CLUB CORINTHIANS PAULISTA SÃO PAULO 18/10 ...
DATA: 17 a 20/10/ 2024 LOCAL: SPORT CLUB CORINTHIANS PAULISTA SÃO PAULO 18/10 ...
Con un 21-9 en el último cuarto, el Dreamland Gran Canaria venció al Surne Bilbao Basket (80-67) en un duelo en el que nadó ...
El 30 de mayo de 2002 no fue un Día de Canarias cualquiera. El nadador David Meca escogió esa fecha para cruzar a nado los ...
El equipo mexicano de Nado sincronizado debutó en los Juegos Olímpicos de París 2024 con la presentación de su rutina ...
Cardinals Shut Out The Nats - Miles Mikolas - Michael Siani - Arendado & Goldy - Alec Burleson - Ryan Helsley Follow ...
Tazama penati zote zilizopigwa kwenye mchezo wa fainali ya #crdbbankfederationcup kati ya Azam FC dhidi ya Yanga SC. Yanga imeshinda kwa jumla ya penati 6-5 na kutwaa kombe la Shirikisho la CRDB Benki kwa mara ya nne tangu lirejee mwaka 2015. Waliokosa penati kwa Yanga ni Stephane Aziz Ki, Joseph Guede na Ibrahim Abdullah Bacca. Waliokosa kwa Azam FC ni Iddy Nado, Gibril Sillah, Fuentes Mandoza na Lusajo Mwaikenda.
Feisal Salum amefunga magoli mawili Azam FC ikiibugiza Kagera Sugar mabao 5-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC iliyopigwa leo kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi..... Magoli mengine kwenye mchezo huu yametoka kwa Gibril Sillah dakika ya 50’, Kipre Jr dakika ya 65' na Iddy Nado dakika ya 90, huku Feisal akifunga yake dakika ya 72 na 79.