The Caf Confederation League group stage got underway on Sunday as Raja Casablanca were held 1-1 by Hassania Agadir, while Zesco United saw off Nkana Defending champions Raja Casablanca kicked off their Confederation Cup Group A campaign with a 1-1 draw with fellow Moroccans Hassania Agadir. It was an afternoon that saw Frenchman Patrice Carteron make his debut as Raja coach, and he witnessed his side start their group stage campaign by dropping two points. Veteran forward Mouhssine Lajour thrust Raja ahead nine minutes after the half-time break, before Mehdi Oubilla drew level for Hassania Agadir in the 63rd minute.
Sehemu ya kwanza ya kipindi hiki imechambua kwa kina mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Simba SC dhidi ya Nkana FC uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam, na Simba kupata ushindi wa mabao 3-1. Ushindi huo uliifanya Simba iweze kufuzu hatua ya makundi ya michuano hiyo kwa mara ya kwanza baada ya miaka 15 kutokana na ushindi wa jumla wa mabao 4-3 kufuatia kipigo cha mabao 2-1 ilichokipata nchini Zambia kwenye mchezo wa kwanza. Je, nini sisi ya ushindi huu? Kutana na wachambuzi wetu ni Abdullah Mkeyenge, Charles Abel na Thobias Sebastian, chini ya Ahmed Ally. Mbali na hilo, kipindi hiki pia kimechambua mechi za Kombe la Shirikisho la Azam Sports ikiwemo ile ya Yanga kushinda mabao 4-0 dhidi ya Tukuyu Stars kwenye Dimba la Taifa Dar es Salaam. Sehemu ya mwisho ya kipindi hiki tunaangazia Ligi Daraja la Kwanza, leo tukijikita zaidi kwenye viwango na mafanikio ya timu za Daraja la Kwanza kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports. Kumbuka kipindi cha Dakika 90 ni kila Jumatatu saa 3:30 usiku, Azam Sports 2.
Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars/ Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars/ Twitter: https://twitter.com/kidanistars
SUBSCRIBE HAPA https://www.youtube.com/channel/UC_m6Lmu4NexLFzafJH5InYA?view_as=subscriber tembelea WEBSITE YETU https://bmtvtanzania.com/ INSTAGRAM https://www.instagram.com/bmtvtanzania FACEBOOK https://www.facebook.com/bmtvtanzania TWITTER https://twitter.com/bmtvtanzania1
Tetesi za kimichezo, okwi kutimkia South Africa,walter bwalya kutokea nkana kutua simba Sports Club
MAJONZI :SIKU YA MCHEZO KATI YA SIMBA NA NKANA, MMOJA APOTEZA MAISHA #simbasportsclub #nkanafc #taifa