ELEUTER MPEPO AINYOOSHEA MIKONO RUVU SHOOTING/ “WALIKUWA VIZURI KIMFUMO/ MASHABIKI WATUVUMILIE…
ELEUTER MPEPO AINYOOSHEA MIKONO RUVU SHOOTING/ “WALIKUWA VIZURI KIMFUMO/ MASHABIKI WATUVUMILIE…

Tazama hapa mahojiano na Kocha wa Ruvu Shooting Mbwana Mkata pamoja Kocha Msaidizi wa Mtibwa Sugar Awadh Juma na ...



KOCHA MTIBWA “ALAMA MOJA UGENINI SIO MBAYA/ KUKOSEKANA ILANFYA IMETUGHARIMU”….
KOCHA MTIBWA “ALAMA MOJA UGENINI SIO MBAYA/ KUKOSEKANA ILANFYA IMETUGHARIMU”….

Tazama hapa mahojiano na Kocha wa Ruvu Shooting Mbwana Mkata pamoja Kocha Msaidizi wa Mtibwa Sugar Awadh Juma na ...



MAÇ ÖZETİ: Fenerbahçe 4-0 KF Tirana
MAÇ ÖZETİ: Fenerbahçe 4-0 KF Tirana

Fenerbahçemiz yeni sezon hazırlık karşılaşmasında KF Tirana'yı Mergim Berisha, Filip Novak, Dimitris Pelkas ve Mbwana ...



Team Samatta 3-3 Team Kiba (Pen 2-4) | Magoli, Penati & Kombe | Nifuate 18/06/2022
Team Samatta 3-3 Team Kiba (Pen 2-4) | Magoli, Penati & Kombe | Nifuate 18/06/2022

SAMAKIBA 2022: Team Kiba iliyo chini ya msanii Alikiba imebeba Kombe la Nifuate 2022 kwa kuichapa Team Samatta iliyo chini ya nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta kwa mikwaju ya penati 4-2 kufuatia sare ya mabao 3-3. Katika muda wa kawaida, magoli ya Team Kiba yamefungwa na Saimon Msuva aliyefunga mawili pamoja na Alikiba mwenyewe kwa penati huku magoli ya Team Samatta ayakifungwa na Kelvin John, Mbwana Samatta na Idd Gamba kwa penati. Mechi hii ni tamasha maalum la hisani kwa ajili ya kurejesha jamii ambalo hufanyika kila mwaka chini ya taasisi ya Samakiba Foundation, na mwaka huu limefanyika kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam, na kushuhudia Team Kiba wakibeba ndoo.



Tanzania 3-1 Afrika ya Kati | Highlights | Mechi ya Kirafiki 23/03/2022
Tanzania 3-1 Afrika ya Kati | Highlights | Mechi ya Kirafiki 23/03/2022

Timu ya taifa ya Tanzania #TaifaStars imeitandika Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) mabao 3-1 katika mchezo wa kirafiki wa kalenda ya FIFA uliochezwa leo kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Magoli ya Tanzania yamefungwa na Novatus Dismas dakika ya 10, Mbwana Samatta dakika ya 63 na George Mpole dakika ya 90 huku CAR wakipata bao lao kwa mkwaju wa penati dakika ya 66.



Magoli | Tanzania 3-1 Afrika ya Kati | Mechi ya Kirafiki 23/03/2022
Magoli | Tanzania 3-1 Afrika ya Kati | Mechi ya Kirafiki 23/03/2022

Timu ya taifa ya Tanzania #TaifaStars imeitandika Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) mabao 3-1 katika mchezo wa kirafiki wa kalenda ya FIFA uliochezwa leo kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Magoli ya Tanzania yamefungwa na Novatus Dismas dakika ya 10, Mbwana Samatta dakika ya 63 na George Mpole dakika ya 90 huku CAR wakipata bao lao kwa mkwaju wa penati dakika ya 66.



Royal Antwerp FC - KAS Eupen | GOAL 1-0 Ally Mbwana Samatta | 2021-2022
Royal Antwerp FC - KAS Eupen | GOAL 1-0 Ally Mbwana Samatta | 2021-2022

Volg alles van Royal Antwerp F.C. via: * De enige echte RAFC-app: http://bit.ly/RAFC-app * Facebook: https://www.facebook.com/RoyalAntwerpFC/ * Twitter: https://twitter.com/official_rafc * Instagram: https://www.instagram.com/royal_antwerp_fc/ * Linkedin: https://www.linkedin.com/company/royal-antwerp-fc/ * Website: https://royalantwerpfc.be/




« Previous Next »


Popular Tags

#Goalkeeper Saves  #Shot Goals  #Zlatan Ibrahimovi  #Allen Iverson  #Anthony Davis  #Manuel Neuer  #Mesut Ozil  #Counter Attack Goals Football  #Derrick Rose  #New York Knicks  

Popular Users

#UKCoachCalipari  #rolopez42  #realDonaldTrump  #narendramodi  #SteveNash  #rogerfederer  #instagram  #nyt4thdownbot  #incarceratedbob  #nfl  #BarackObama  #Ky1eLong  #RobGronkowski  #alexmorgan13