Lipuli Yazitunishia Misuli SIMBA na Yanga/ Ishu Ya Sonso Na Matola Meneja wa klabu ya lipuli Julius Leo amesema kocha wao Matola hataondoka klabuni hapo na bado ana mkataba na klabu hiyo yenye maskani yake mkoani Iringa. Awali ziliibuka taarifa kuwa klabu ya Simba inamwitaji Matola kuwa kocha msaidizi wa timu hiyo ili kuchukua nafasi ilioachwa wazi na aliekuwa kocha msaidizi Masoud Djuma Julius pia amesema hawajapokea taarifa yoyote kutoka klabu ya Yanga ya kutaka kumsajili mchezaji wao Ally Sonso Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho USIKUBALI KUPITWA NA HII, BONYEZA LINK https://www.youtube.com/watch?v=L4UGw...
Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars OKWI, CHAMA, KWASI NA SALAMBA WOTE WAFUNGA SIMBA SC YAIKANDAMIZA ALLIANCE FC 5-1 TAIFA MABINGWA watetezi, #SimbaSC wamepata ushindi wa kishindo baada ya kuichapa 5-1 #AllianceFC katika mchezo wa #LigiKuu ya Tanzania Bara uliofanyika Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Ushindi huo unaifanya Simba SC ifikishe pointi 20 baada ya kucheza mechi tisa na kupanda hadi nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu, sasa ikiziwa pointi nne na vinara, Azam FC ambao hata hivyo wamecheza mechi moja zaidi. Watani wao wa jadi, Yanga SC wanafuatia kwa pointi zao 19 na kesho watacheza mechi yao ya nane kwa kumenyana na KMC Saa 1:00 usiku Uwanja wa Taifa. Mshambuliaji Mganda, Emmanuel Okwi alifunga bao la kwanza dakika ya 10 kwa kichwa akimalizia pasi ya kocha baada ya krosi ya beki Mghana, Nicholas Gyan baada ya kona fupi kutoka upande wa kulia. Kikosi cha Simba SC leo kilikuwa; Aishi Manula, Nicholas Gyan/Shomari Kapombe dk46, Asante Kwasi, Juuko Murshid, Pascal Wawa, Said Ndemla, Mohammed ‘Mo’ Ibrahim/Hassan Dilunga dk61, Clatous Chama, Adam Salamba/Meddie Kagere dk75, John Bocco na Emmanuel Okwi. Alliance FC; Kelvin Richard, Israle Patrick, Hance Masoud, Wema Sadock, Geoffrey Luseke, Juma Nyangi, Dickson Ambundo, Balama Mapinduzi/Martin Kiggi dk89, Michael Chinedu/Juhudi Philemon dk61, Jamal Mtegeta/Zabona Khamis dk80 na Siraj Juma. Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars
Miongoni mwa wachezaji waliosajiliwa msimu huu katika klabu ya Stand United ni Mlinzi Niyonkuru Nassor raia wa Burundi. Kwenye Makala hii, beki huyo anaeleza historia yake ya soka tangu alivyoanza nchini Burundi hadi alipofika Stand United huku akimtaja Kocha Msaidizi wa Simba Masoud Djuma katika mafanikio yake. Beki huyo pia ameeleza ni kwanini anafikiri Stand United ina wachezaji wengi kutoka Burundi.
6:59 Homa imenizidia OSS Balantanda Recommended for you 6:24 Masanja alivyowajia juu watu msiba wa mtoto wa Muna Love Mtanzania Digital Recommended for you New 19:26 Mpaka Home: Haya Ndiyo Maisha Halisi ya Bambo, Global TV Yamuibukia Usiku Global TV Online Recommended for you 10:12 JPM azidi kuonesha makali yake "2020 Njia ni Nyeupe Kabisa" Topten Tv 42K views New 3:16 Mkude Simba na Bwakila Efm Radio Tanzania 405K views 3:15 Goli, Simba 1 - 0 As ports KAGAME CUP ShutikaliTV 42K views New 19:22 03.11.2007. Arsenal vs Man Utd WSH Recommended for you Makonda Alivyokosa Penalti Mechi ya Wabunge Vs Mabalozi Usalama Barabarani Global TV Online 126K views Kauli ya kwanza ya Mwigulu tangu atenguliwe “Nitaacha Ubunge?” Millard Ayo 149K views New Kocha Masoud djumaa Awachana wanaosema Pascal wawa ni mzee ShutikaliTV 6.6K views New Baba mzazi wa Patrick afunguka kuhusu Muna Love, Casto Dickson Mtanzania Digital 263K views New MITIMINGI # 180 UKITAKA KUMFANYA MWANAUME(MUME) AWE WAKO TU, ASIWE WETU. FANYA HAYA UTADUMU NAYE. MITIMINGI ONLINE TV Recommended for you mwajuma- MARIJANI RAJAB jphamber Recommended for you Mimi Ni Malaya/Natongoza Wanaume/ Siwezi kuwa Na Mwanaume Mmoja-FEY Mid One Tv 13K views New Hivi ndivyo ilivyotua Ndege kubwa Boeing 787-8 na kupokelewa na JPM Habari Mpya 101K views New Masoud Djumaa baada ya simba kuwakufunga As ports Asema haya ShutikaliTV 10K views New Kangi Lugola 'analiamsha dude'. Tazama anachokimaanisha? Azam TV 20K views New Namna JPM alivyoipokea ndege mpya Boeing 787-8 Dreamliner Mtanzania Digital 90K views New Manara Afungukia Uvumi wa Simba kumtimua Beki Wawa, Je Kwasi atachukua nafasi Yake Maisha Tv 26K views New Mshambuliaji nyota wa mabingwa watetezi Azam FCShaban Idd Chilunda anaipeleka timu yake nusu fainali baada ya kufunga magoli manne na kufikisha magoli SABA katika michuano ya mwaka huu. Chilunda ndiye anayeongoza katika safu ya wapachika mabao mpaka sasa. FT'- AZAM FC 4-2 RAYON SPORTS
ALLE VIDEOS IMMER 48 STD. VOR YOUTUBE SEHEN ❗ ➡ http://www.elbkick.tv ⬅ ❗ JETZT KANAL ABONNIEREN ❗ ➡ http://bit.ly/2ll6zgs ⬅ ❗ Gelungener Abschluss der Meistersaison! 22. Spieltag (16.06.18) Endergebnis: 4:1 (3:0) Tore: 1:0 Mika Könemann 2:0 Robbie Schlichting 3:0 Abdul-Malik Yago 4:0 Mika Könemann 4:1 Cedric Henri Blume Aufstellung FC Eintracht Norderstedt U17: 28 Jasper Grahl, 3 Ammat Malik Janha, 8 Robbie Schlichting, 9 Mika Könemann, 10 Abdul-Malik Yago, 16 Berke-Ali Kilinc, 20 Ranjodh Chahal, 23 Jomo Ngum, 25 Tim Kappmeyer, 26 Tony Brobbey, 27 Nikolas Steinbeck Ersatzspieler: 6 Jonathan Peter Wilhelm Hüneburg, 7 Justin Morten Elling, 11 Tim Leon Witte, 15 Luca Lars Nawroth, 17 Nissan Jordan Traore, 22 Darijo Maksimovic, 30 Cem Laurenz Held Trainer: Ricardo Leu Aufstellung SC Condor U17: 25 Yannick Grabener, 6 Raymond Kastrati-Rrahmani, 8 Cedric Henri Blume, 9 Can Nadir Celikel, 10 Emre Altuntas, 11 Lukas Rantz, 15 Saidou Dioallo, 17 Abdul-Mumin Ziba, 18 Bedir Cakmakci, 20 Otto Moussong, 21 Rakibscha Tochy Ersatzspieler: 2 Arya Mirzaei, 3 Daniel Ochogano Egeli, 5 Masoud Ahmadi, 7 Seyed Amir Arslan Seyed Salehi, 14 Andre Kevin da Silva Goncalves, 16 Zafiholla Shah, 19 Dylan Manu Gyamenah Trainer: Christopher Tittel 💣 ADMIRAL Sportwetten: Jetzt €200 Bonus sichern http://bit.ly/2Cap27z 💣 ⚽ #WODASLEBENFUSSBALLSPIELT 📺 Homepage: http://www.elbkick.tv 👍 Facebook: https://www.facebook.com/ELBKICK.TV 🎥 YouTube: https://www.youtube.com/ELBKICK 🐦 Twitter: https://twitter.com/elbkicktv 📷 Instagram: http://instagram.com/elbkick.tv/ 💻 Bearbeitet mit: Magix Video Pro X7 // http://bit.ly/2dQJfEe 💛 Gelb, gut, günstig! -10% Rabatt auf ALLE Mietungen und Buchungen bei unserem Partner STARCAR - Autovermietung // CODE: KickTV // http://bit.ly/2tHakEm 💛
Kabla ya game ya leo Simba alikuwa kaizidi Azam FC kwa point 5, Azam wakiwa na point 33 na Simba 38, hivyo ushindi wa Simba wa goli 1-0 lililofungwa na Emmanuel Okwi dakika ya 37 kipindi cha kwanza unaifanya Simba kujikita kileleni kwa tofauti ya point nane dhidi ya Azam na tofauti ya point 7 dhidi ya Yanga anayeshika nafasi ya pili.