Please watch: "MAGOLI YOTE YA SIMBA 5 - 0 MBAO" https://www.youtube.com/watch?v=lU7L3hP4BP0 --~-- SIMBA SC imezidi kuwaacha mbali wapinzani katika mbio za ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Azam FC jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Hongera kwake mfungaji wa bao pekee la leo, mshambuliaji Mganda Emmanuel Arnold Okwi aliyefunga dakika ya 36 baada ya kutokea patashika kwenye lango la Azam FC kufuatia krosi ya beki Mghana, Asante Kwasi. Simba SC sasa inafikisha pointi 41 baada ya kucheza mechi 17, wakiwazidi kwa pointi saba, mabingwa watetezi, Yanga SC wenye pointi 34 katika nafasi ya pili na Azam FC wanabaki nafasi ya tatu kwa pointi zao 33. Dalili za Simba inayofundishwa na kocha Mfaransa, Pierre Lechantre anayesaidiwa na Mrundi, Masoud Juma kupata bao zilionekana mapema tu mchezo huo ulipoanza kutokana na mashambulizi yake mfululizo langoni mwa wapinzani. Azam FC walizidiwa katika safu ya kiungo na kujikuta wanawapa fursa Simba kutawala mchezo sehemu kubwa ya kipindi cha kwanza. Benchi la Ufundi la Azam chini ya Mromania, Aristica Cioaba ba mzalendo, Iddi Cheche liliona hilo na mapema kipindi cha pili wakamuingiza kiungo Salum Abubakar ‘Sure Boy’ kwenda kuchukua nafasi ya mshambuliaji Iddi Kipagwile. Mabadiliko hayo yaliipa uhai Azam FC na kuanza kupeleka mashambulizi makali langoni mwa Simba, lakini kipa namba moja nchini, Aishi Manula alisimama imara kuokoa akisaidiwa na mabeki, Yussuph Mlipili na Erasto Nyoni. Kikosi cha Simba SC kilikuwa; Aishi Manula, Shomary Kapombe, Erasto Nyoni, Yussuph Mlipili, Asante Kwasi, Jonas Mkude, Shiza Kichuya, Said Ndemla/Muzamil Yassin dk59, John Bocco, Emmanuel Okwi/Nicholaus Gyan dk84 na James Kotei. Azam FC; Razak Abalora, Daniel Amoah, Bruce Kangwa, Yakubu Mohammed, Aggrey Morris, Stephan Kingue, Iddi Kipagwile/Salum Abubakar ‘Sure Boy’ dk55, Frank Domayo, Mbaraka Yussuph, Yahya Zayed/Bernard Arthur dk71 na Enock Atta-Agyei.
Kariobangi Sharks have signed eleven new players, among them three strikers, who will be tasked with the responsibility of filling in Masoud Juma's shoes, in the new Kenyan Premier League season.
Super League - 08.01.2017 Panaitolikos against Panionios ---------------------------------- 0 - 2 ---------------------------------- 36' - Marcos Paulo (Yellow Card) 39' - El Fardou Ben Nabouhane (Yellow Card) 54' - Christos Tasoulis (Yellow Card) 59' - Masoud Shojaei (Goal) 74' - Giorgos Masouras (Goal) 79' - Luis Rocha (Yellow Card) 84' - Georgios Mygas (Yellow Card)
http://udgrada.wix.com/udgrada La afición amarilla que acudió al Estadio de Gran Canaria nos cuenta el empate a 2 entre la UD Las Palmas y el RCD Mallorca, partido correspondiente a la 20ª jornada de la Liga Adelante (Segunda División) en la que los de Sergio Lobera no supieron gestionar su renta de dos goles y aprovechar los malos resultados de sus rivales de Liga. La vuelta de Apoño al once inicial y los goles de Masoud y Aythami Artiles no fueron suficientes para derrotar al conjunto bermellón ya que los goles de Alfaro y Alex Moreno y la actuación arbitral en la recta final, aguaron la fiesta a los amarillos ya que podían haber acabado la jornada en zona de ascenso directo a la Liga BBVA (Primera División), actualmente ocupada por el Deportivo de La Coruña y el Real Sporting de Gijón.