Magoli Yote Simba 2 -1 African Lyon, Highlight
Magoli Yote Simba 2 -1 African Lyon, Highlight

Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars SIMBA SC imeamsha makali yake baada ya kuichapa African Lyon ya Dar es Salaam mabao 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara uliofanyika Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam usiku wa leo. Kwa ushindi huo, Simba SC inafikisha pointi 14 baada ya kucheza mechi saba, ikijivuta hadi nafasi ya nne kwenye msimamo wa Ligi Kuu, nyuma ya Azam FC pointi 15 za mechi saba, Singida United pointi 16 mechi tisa na Mtibwa Sugar pointi 17 mechi tisa. Ushindi wa leo wa Simba SC umetokana na mabao ya kiungo mzalendo, Shiza Ramachani Kichuya kipindi cha kwanza na mshambuliaji wake Mganda, Emmanuel Okwi kipindi cha pili, wakati bao la Lyon limefungwa na Awadh Juma dakika ya 62. Kichuya ambaye ameporomoka kiasi cha kuachwa timu ya taifa, leo aliamsha makali yake kwa kufunga bao la kwanza mapema tu dakika ya nane akimalizia krosi ya beki wa kulia, Shomari Kapombe Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars



Penati ya John Bocco ikiipa Simba bao la kwanza; Mwadui FC vs Simba SC (TPL – 23/09/2018)
Penati ya John Bocco ikiipa Simba bao la kwanza; Mwadui FC vs Simba SC (TPL – 23/09/2018)

Nahodha wa Simba John Bocco alipoifungia Simba bao la kwanza kwa mkwaju wa penati baada ya Shiza Kichuya kuchezewa madhambi ndani ya boksi dakika ya 41. Ni mchezo wa Ligi kuu Tanzania Bara ukipigwa kwenye dimba la Kambarage mjini Shinyanga leo Septemba 23, 2016.



MORO YOUTH CENTER: Mtibwa Sugar inakojipatia akina ‘Kichuya’
MORO YOUTH CENTER: Mtibwa Sugar inakojipatia akina ‘Kichuya’

Zikiwa zimebaki wiki mbili kamili kufanyika kwa fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports, Azam TV imetia nanga mkoani Morogoro yaliko makao makuu ya timu ya Mtibwa Sugar ambayo itacheza dhidi ya Singida United. Akiwa huko ametembelea kituo cha soka cha Moro Youth ambacho kinazalisha wachezaji na kuwapeleka Mtibwa Sugar. Uongozi wa Moro Youth umeileza Azam TV kuwa watafurahi sana endapo Mtibwa itachukua kombe hilo kwani ni heshima kubwa kwao.



MTIBWA SUGAR 0-1 SIMBA SC: FULL HIGHLIGHTS (VPL 09/04/2018)
MTIBWA SUGAR 0-1 SIMBA SC: FULL HIGHLIGHTS (VPL 09/04/2018)

Mechi imemalizika kwa ushindi mwembamba upande wa Simba licha ya kushambuliwa zaidi hasa dakika za mwisho kipindi cha pili. Mshambuliaji wa Simba Emmanuel Okwi ameifungia timu yake bao pekee la ushindi dhidi ya Mtibwa Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara ukipigwa katika dimba la Jamhuri, Morogoro. Katika mchezo huo mgumu na uliokuwa na ushindani mkali, bao la Simba lilipatikana dakika ya 24 ambapo kinara huyo wa mabao aliunganisha pasi ya kichwa ya kutoka kwa John Bocco, baada ya kros ya Shiza Kichuya kutoka upande wa kushoto. Baada ya mchezo huo umati mkubwa ulionekana kujaa katikati ya dimba. Mchezo ulivyokuwa....



KOCHA MBAO FC; Simba Hawatuzingui!!
KOCHA MBAO FC; Simba Hawatuzingui!!

KOCHA MBAO FC; Simba Hawatuzingui!! SIMBA SC imezidi kuukimbilia kwa kasi ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara baada ya ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Mbao FC ya Mwanza jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Mshambuliaji Mganda, Emmanuel Okwi alifunga mabao mawili moja kila kwa kipindi kabla ya kuumia na kutolewa wakati mabao mengine yalifungwa na Shiza Kichuya, Erasto Nyoni na Mghana, Nicholaus Gyan. Ushindi huo unaifanya Simba itimize pointi 45 baada ya kucheza mechi 19, ikiendelea kukaa kileleni mwa Ligi Kuu, ikifuatiwa na mabingwa watetezi, Yanga wenye pointi 37 za mechi 18, wakati Mbao FC inabaki nafasi ya 10 kwa pointi zake 19 za mechi 19. Install #GlobalPublishersApp Android: http://bit.ly/2AAQe1d iOS: http://apple.co/2Assf4M Subscribe http://www.youtube.com/c/uwazi FACEBOOK: https://www.facebook.com/Globalpublis... TWITTER: https://twitter.com/GlobalHabari Visit https://globalpublishers.co.tz/, Subscribe http://www.youtube.com/c/uwazi1 kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… http://www.youtube.com/c/uwazi1 http://www.youtube.com/c/uwazi1 http://www.youtube.com/c/uwazi1 WEBSITE: https://globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: https://www.facebook.com/Globalpublis... TWITTER: https://twitter.com/GlobalHabari INSTAGRAM: https://www.instagram.com/globalpubli.



SIMBA SC 5-0 MBAO FC; VPL, FULL HIGHLIGHTS (26/02/2018)
SIMBA SC 5-0 MBAO FC; VPL, FULL HIGHLIGHTS (26/02/2018)

Timu ya Mbao FC kutoka jijini Mwanza, imekutana na kipigo kizito cha mabao 5-0, kutoka wa Wekundu wa Msimabazi, Simba SC katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa leo kwenye dimba la Taifa Dar es Salaam. Magoli yote a Simba katika mchezo wa leo, haya hapa, wafungaji wakiwa ni Shiza Kichuya dakika ya 38, Emmanuel Okwi mabao mawili, dakika ya 40 na 70, Nicholas Gyan dakika ya 86 na Erasto Nyoni dakika ya 82



MAGOLI Yote ya Simba Vs Mbao 5- 0
MAGOLI Yote ya Simba Vs Mbao 5- 0

MAGOLI Yote ya Simba Vs Mbao 5- 0 SIMBA SC imezidi kuukimbilia kwa kasi ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara baada ya ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Mbao FC ya Mwanza jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Mshambuliaji Mganda, Emmanuel Okwi alifunga mabao mawili moja kila kwa kipindi kabla ya kuumia na kutolewa wakati mabao mengine yalifungwa na Shiza Kichuya, Erasto Nyoni na Mghana, Nicholaus Gyan. Ushindi huo unaifanya Simba itimize pointi 45 baada ya kucheza mechi 19, ikiendelea kukaa kileleni mwa Ligi Kuu, ikifuatiwa na mabingwa watetezi, Yanga wenye pointi 37 za mechi 18, wakati Mbao FC inabaki nafasi ya 10 kwa pointi zake 19 za mechi 19. Install #GlobalPublishersApp Android: http://bit.ly/2AAQe1d iOS: http://apple.co/2Assf4M Subscribe http://www.youtube.com/c/uwazi FACEBOOK: https://www.facebook.com/Globalpublis... TWITTER: https://twitter.com/GlobalHabari Visit https://globalpublishers.co.tz/, Subscribe http://www.youtube.com/c/uwazi1 kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… http://www.youtube.com/c/uwazi1 http://www.youtube.com/c/uwazi1 http://www.youtube.com/c/uwazi1 WEBSITE: https://globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: https://www.facebook.com/Globalpublis... TWITTER: https://twitter.com/GlobalHabari INSTAGRAM: https://www.instagram.com/globalpubli.



KOCHA MBAO FC: SIMBA HAITUSUMBUI
KOCHA MBAO FC: SIMBA HAITUSUMBUI

Please watch: "MAGOLI YOTE YA SIMBA 5 - 0 MBAO" https://www.youtube.com/watch?v=lU7L3hP4BP0 --~-- Kocha wa Mbao Fc akizungumza na waandishi wa habari baada ya mchezo dhidi ya Simba Sc ambapo Mbao Fc wamefungwa goli 5-0 , magoli ya Simba yakifungwa na Shiza Kichuya, Emmanuel Okwi, Erasto Nyoni na Nicholas Gyan.




« Previous Next »


Popular Tags

#Paul George  #Franck Ribery  #Russell Westbrook  #Best Ball Controls  #Best Goals  #Allen Iverson  #Lionel Messi  #Michael Jordan  #Amazing Solo Goals  #Zlatan Ibrahimovi  

Popular Users

#KimKardashian  #LarryFitzgerald  #imVkohli  #normmacdonald  #jtimberlake  #KingJames  #CMPunk  #DanicaPatrick  #NASA  #ArianaGrande  #UKCoachCalipari  #CP3  #twitter  #LAKings